mnyamweziog
Senior Member
- Nov 7, 2016
- 169
- 251
Cc tutajuaje kama umefanana na babaakohalali kabisa copy right na baba anguu!!
yaani mm 100% sure haina mjadala!!
Cc tutajuaje kama umefanana na babaakohalali kabisa copy right na baba anguu!!
yaani mm 100% sure haina mjadala!!
Haya ndiyo mawazo bora ya mwafrica 2016! wee jamaa utakuwa maskini wa akili unakusumbuaNa ukizaa hata kumi wakawa ubwabwa au wakawa madoli ya usiku pale sinza je?
Haya ndiyo mawazo bora ya mwafrica 2016! wee jamaa utakuwa maskini wa akili unakusumbua
micn uNipo best niambie
Haaa haaaaNa ukizaa hata kumi wakawa ubwabwa au wakawa madoli ya usiku pale sinza je?
Madoli ya usiku, hahaaa hahaaa, sijui ya mchana yanafananaje?Haaa haaaa
Haa hhaaaaa
Mkuu mbavu zangu, eti madoli?!?!
Au mubashara..haahaaHii inaitwa live yaani matangazo yanarushwa moja kwa moja kutoka labour wodi.
Mbona mie sijafunga?Kisha afunge kizazi sasa loh! Hobby gani hii
kuna mmoja lazima atakuwa 'anapenda' sanahakuna shida mpunga si upo acha wafike 12
Kwanini mkuu unamshauri hivyo? Kati ya kuzaa na tendo kipi unamaanisha ni hobby? umewahi kuzaa hata mara moja hadi kujua kama inaweza kuwa hobby au isiwe hobby? Tupe experience yako ya hobby ya uzazi toka umeanza kuzaa!?