Update

Salanga

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
364
44
Habari zenu wanajf. Mimi niliwahi kusikia juu ya hii miradi miwili Singida 1.Kuanzishwa kwa UNIVERSITY OF SINGIDA 2.Kujengwa kwa HOSPITALI YA RUFAA YA SINGIDA. Kwa kuwa naamini hapa JF ndipo jamii inapokutana ,naomba wenye taarifa za maendeleo ya miradi hii wamwage hapa kwa manufaa yetu sote. Kwangu update ni muhimu kwa kuwa kwa njia moja au nyingine najipanga kuchangia kwa hali au mali katika miradi hii miwili yenye uhusiano wa karibu kabisa.
 
Isije ikawa ulisikia ahadi za kikwete alizokuwa anamwaga kama hana akili ili kuwadanganya watz wampe kura mwezi October 2010. Kama ni hizo ahadi fahamu kwamba lilikuwa changa la macho, maana hata sisi wa Kigoma na Bukoba hatujapata international airport tulizoahidiwa.
 
Isije ikawa ulisikia ahadi za kikwete alizokuwa anamwaga kama hana akili ili kuwadanganya watz wampe kura mwezi October 2010. Kama ni hizo ahadi fahamu kwamba lilikuwa changa la macho, maana hata sisi wa Kigoma na Bukoba hatujapata international airport tulizoahidiwa.
Hapana mkuu hii miradi haijakaa kimagamba kivile,Naomba mwenye kujua stage iliyofikia aniambie
 
Back
Top Bottom