Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Kamati ya kudumu ya Bunge la Muungano wa Tanzania ya Katiba, Sheria na Utawala ikiwa imekaa kwenye ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kujadili yasimu ya marekebisho ya ya mswada wa kutunga sheria ya kuundwa katiba mpya.
Kama sijakosea kati ya wajumbe waliopo kwenye picha ni Tundu Lisu pekee mwenye tovuti tofauti na wengine ambao wangali na mfumo wa kutunza kumbukumbu mtindo uliotumika miaka 1947. Karatasi likichomoka na kupotea ndio mwisho wa habari na kumbukumbu, itabaki kuchoma moto jengo kutoa kisingizio.