MeanMan
Member
- Jan 27, 2012
- 52
- 13
Jana jioni nimeenda kituo kimoja cha mafuta nikiwa nataka lita 50 za petrol, nikaambiwa kwa magari wanatoa lita 20 tu, kwa pikipki lita zisizozidi 5!!! Sababu:"Ndio maelekezo tuliyopewa na maboss wetu". Leo ndio kabisa hawauzi hata lita 1, wanakuambia mafuta yamekwisha!!! Jamani vipi pande nyingine huko?