lumbagengata
Member
- May 16, 2011
- 27
- 2
Habari wana JF,
Naombeni Taariafa juu ya Upatikanaji wa Mashine hizi za upandaji Mpunga hapa Tanzania kwa mwenye taarifa.
Kwani nimejaribu kufuatilia sijafanikiwa. Kwani nafanya Kilimo hichi Iringa Pawaga,lakini moja ya tatizo kubwa ni namna ya upandaji.
Mchango wenu wana jf wenye kuleta mafanikio.
Ahsante Nawasilisha Wadau.
Naombeni Taariafa juu ya Upatikanaji wa Mashine hizi za upandaji Mpunga hapa Tanzania kwa mwenye taarifa.
Kwani nimejaribu kufuatilia sijafanikiwa. Kwani nafanya Kilimo hichi Iringa Pawaga,lakini moja ya tatizo kubwa ni namna ya upandaji.
Mchango wenu wana jf wenye kuleta mafanikio.
Ahsante Nawasilisha Wadau.