Upasuaji wa kwanza wa kuhamisha kichwa kufanyika

Cheki hii nyingine,mfanyakazi alikatika kiganja kiwandani ukahifadhiwa hapo then wakaurudisha.
 

Attachments

  • 1437721379621.jpg
    1437721379621.jpg
    14.8 KB · Views: 119
Mungu akiniweka hai.....ningependa kuiondoa kuuaminisha Ubongo na fikra nilizonazo kichwani mwangu...

Niweze kuamini kuwa kile kinachoitwa roho hakikai baina ya Kichwa na Kiwiliwili...

Nimekuwa nikiamini kwa 100% kuwa hakuna maisha baada ya kutenganisha kichwa na mwili....

Mungu aniwezeshe niwe moja ya Shuhuda katika oparesheni hii...
 
Back
Top Bottom