Vitalino mlelwa
Member
- Oct 22, 2011
- 94
- 10
Ni siku moja tangu bei ya umeme itangawe kupandishwa kuanzia jumapili kwa malengo ya kuisaidia TANESCO kuweza kuendesha shughuri zake vizuri.1.swali kunawakati ambao umeme utarudi katika bei tunazoziacha au ndo byby,
2. nikweli pesa zitakazopatikana baada ya ongezeko hili ni kweli zitafanya kazi kama ambavo imeongelewa
3.kwakupandisha bei za umeme na mafuta hasa diesel tunategemea nini kwa maendeleo
2. nikweli pesa zitakazopatikana baada ya ongezeko hili ni kweli zitafanya kazi kama ambavo imeongelewa
3.kwakupandisha bei za umeme na mafuta hasa diesel tunategemea nini kwa maendeleo