Sasa hapo kwenye watu wengi namna hiyo mtu anaweza kuwa "kidnapped" bila mashahidi wengine kuwepo ambao walishuhudia tukio? Maana hapa stori ya kutekwa inasemwa na Ulimboka na kuwa substantiated na daktari mwenzake/wenzake pasi na kuwepo independent party aliyeona mchezo mzima.
Mimi narudia tena na tena ulimboka hakutekwa aliondoka na watu anaowafahamu vizuri akapanda nao kwenye gari sasa tuombe apone atuambie alikuwa na kina nani?
ni bora ukafanya home work yako kab
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/