IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,214
- 1,904
Stop being Daft Maundumula, it very disgraceful to come out in public and disclose one sided information of a discusion. What Kikwete has done can only work on people of your kind.(watu wa kutongozwa). Have you asked yourself what was the opinion from other side of discusion between doctors and government? What is the use FOR Doctors to call a press cornference when the actions of the government are clear?(ili waseme nini?). The government have shown no will to adress the issue(from last statement of the president) and have also shown it is capable of turning to Mafia style intimidations come what may...Liwe liwalo.Hao madaktari wachache walikuwa wabinafsi walitaka kutumia huo mgomo kwa maslahi yao wenyewe ndio maana hawawezi kuja mbele ya watu wakaelezea mambo yalivyokuwa na kilichotokea wanasubiri ulimboka apone wajipange nini cha kuongea ili stori zao zisipishane. Kwanini huyo Dr Deo haji mbele ya vyombo vya habari atuambie hasa nini kilitokea maana naona anakimbilia kwenda kusema kwa wanaharakati badala ya kwenda kwenye vyombo husika.
WARNING: THE NEXT VICTIM OF THIS MAFIA STYLE INTIMIDATION WILL BE A POLITICIAN AND THE WAY CCM IS CRACKING AND THE LEVEL OF HATRED CREATED WITHIN, I SUGEST THAT ALL POLITICIANS(CCM AND OPOSITION) ARE TO BE SCARED AND ACT VERY AGRESSIVELY TO STUMP THIS DEVELOPING BEHAVIOUR OF IMPUNITY BY THOSE IN POWER.
N.B THIS WARNING EXCLUDES FUNDI MCHUNDO WITH ADVANCE DIPLOMA FROM DTC. TO ME SHE IS NOT A POLITICIAN WHO CAN BE IDENTIFIED BY WHAT SHE STANDS FOR BUT RATHER AN HYPOCRITE WHO STANDS FOR NOTHING.