PAMOKONUNDA
Member
- Jul 3, 2012
- 66
- 10
Ivi kwa haraka haraka najiuliza dr ULimboka alipigiwa cmu na Abeid (as per dr Deo statement) wakutane stereo na wao Wanasema Kwamba huyo jamaa wanamjua walikuwa wakifanya nae mawasiliano juu ya mgogoro wao baada ya hapo wakachange venue to kibona. Regarding to the situation the following are the question to be answered;
(I) kwanini wakutane sehemu Kama izo na dr akiwa na mtu ambae sio kiongozi wa Madr?
(ii) kwani jumuiya ya madactari Hawana ofisi hadi wakutane bar?
(iii) kwanini Dr ULimboka alikuwa anachukua yeye binafsi jukumu la kuongea na upande wa pili bila kushilikisha viongozi wenzake wa jumuiya nini kilikuwa kinaendelea hapa au ndo zana nzima ya "You have to make me quite first so asto solve the problem"
(I) kwanini wakutane sehemu Kama izo na dr akiwa na mtu ambae sio kiongozi wa Madr?
(ii) kwani jumuiya ya madactari Hawana ofisi hadi wakutane bar?
(iii) kwanini Dr ULimboka alikuwa anachukua yeye binafsi jukumu la kuongea na upande wa pili bila kushilikisha viongozi wenzake wa jumuiya nini kilikuwa kinaendelea hapa au ndo zana nzima ya "You have to make me quite first so asto solve the problem"