Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
MABIBI NA MABWANA!
habari zenu?................
Pamoja na misukosuko mingi,ugumu wa maisha,tabu za maisha,na uchungu wa maisha..........BADO KILA MTU ANATAMANI KUENDELEA KUISHI,na pengine angependa kuongezewa muda wa kuishi walau dakika moja tu.
Nimekaa chini nikafikiria sana,kwamba chini ya jua binadamu wengi tunafikiria upande wa kwanza wa maisha ambao unajumuisha hekaheka zote za kidunia(siasa,uchumi,madaraka,maisha,mapenzi,vita,utajiri mkubwa ufisadi nakadhalika)
Sasa kwenye upande wa pili wa maisha............'KIFO',pana mtihani mkubwa sana.Kwa sababu katika hili asilimia kubwa ya wanadamu HATUJISHUGHULISHI NALO KABISA,na kuna wakati HATUNGPENDA KULIJADILI.
mimi naomba tuanze kujadili MATOKEO,AU IMPACT..........mtu akishakata roho,ANAOGOPWA KUPINDUKIA.waliopata matatizo ya kufiwa wanaweza kulithibitisha,na anaeandika hii thread NI SHAIDI NAMBA MOJA.
..........hata afe baba mzazi,mama,mke,mchumba,au nani unaempenda UNAMWOGOPA SANA,na hungependa kuonana nae tena,hata sura yake ikija njozini unahama kitanda
Jamani eeh!naomba tujadili,
KWA NINI MTU AKIFA ANAOGOPWA?
habari zenu?................
Pamoja na misukosuko mingi,ugumu wa maisha,tabu za maisha,na uchungu wa maisha..........BADO KILA MTU ANATAMANI KUENDELEA KUISHI,na pengine angependa kuongezewa muda wa kuishi walau dakika moja tu.
Nimekaa chini nikafikiria sana,kwamba chini ya jua binadamu wengi tunafikiria upande wa kwanza wa maisha ambao unajumuisha hekaheka zote za kidunia(siasa,uchumi,madaraka,maisha,mapenzi,vita,utajiri mkubwa ufisadi nakadhalika)
Sasa kwenye upande wa pili wa maisha............'KIFO',pana mtihani mkubwa sana.Kwa sababu katika hili asilimia kubwa ya wanadamu HATUJISHUGHULISHI NALO KABISA,na kuna wakati HATUNGPENDA KULIJADILI.
mimi naomba tuanze kujadili MATOKEO,AU IMPACT..........mtu akishakata roho,ANAOGOPWA KUPINDUKIA.waliopata matatizo ya kufiwa wanaweza kulithibitisha,na anaeandika hii thread NI SHAIDI NAMBA MOJA.
..........hata afe baba mzazi,mama,mke,mchumba,au nani unaempenda UNAMWOGOPA SANA,na hungependa kuonana nae tena,hata sura yake ikija njozini unahama kitanda
Jamani eeh!naomba tujadili,
KWA NINI MTU AKIFA ANAOGOPWA?