Upande wa pili wa Edward Lowassa

Ni suala la context (i.e unaangalia kutokea upande upi na/au mazingira yepi).

Contextually speaking, ukichunguza sana hata shetani ana mazuri yake!
 
Congrats! tuko pamoja, niko na wewe! namsifia Lowassa kwa kuanzisha shule za kata anayebisha aje kwa hoja nzito, nimweleze umuhimu wake. umeeleza moja na zuri hili wengi hawalioni wamebaki kufuata mkumbo wa kulaumu tu. shule za kata are best kama watanzania tutaamua zitukwamue!

Tunamuongelea mtu ambaye ingekuwa China angekuwa keshanyongelewa mbali.
 
Madela this is a million dollar question kwa mtoa hoja, kwa nini amemkumbuka Lowassa?

However, another question to you is, how can we know this is a good leader or not kama hatujamsikia, anachofanya hapa mtoa hoja ni comparison!! na amesema kabisa kuwa ' ana matakataka yake' anachofanya ni ku-compare na hawa waliopo!! maana wengine hawajui labda aliosoma nao primary!! sasa ukiona katika ccm hawa bado Lowassa anaonekana basi ujue hao wengine ndio hawafai hata kuwa discussed

Nashangaa thread za siku hizi hazina hoja, ni vijembe tu... lakini madela wa mdilu......sio unafki kweli tunabkubali mkwere kuendelea kuwa rais wetu usiku na mchana huku tunamkataa lowssa? yaani wanaotukana matusi wanatumia basis gani? kuwa hawa wengine ni wasafi??

Kikwete na Lowasa hakuna mchapa kazi hapo. Wote mate yao yanawachuruzuka kupiga dili tu. Mwizi si mchapa kazi katika moral and ethical standards. Sehemu yake ni jela.
 
Tunajua Lowasa anataka uraisi na anawatu wake hapa JF Amewatuma hapa kupima joto la hapa hawajui ni la moto ametumia UVCCM anapima hapa hatudanganyiki
 
Hata Makaburu walileta maendeleo makubwa ya viwanda na kilimo Afroia ya Kusini lakini ilibidi serikali yao iondoke kwa sababu ya maovu yao. Ninyi mnajaribu kumuosha Lowassa kwa faida muijuayo wenyewe. Kwa nini tumuibue mtu mchafu kutoka shimoni kana kwamba hilo ndilo tumaini letu la mwisho wakati Tanzania haijafilisika watu waadirifu??



Mwaisifu mvua kama shukrani ya kuwanyea.

Mkuu hujasoma pot yangu au haujanielewa nasema hivi...kwa mifumo yetu ya uongozi hapa TANZANIA ni vigumu kuwajua viongozi wengine bora kuliko hawa tuwajuao walioko ccm na wachache walioko upinzania, huyu mwanzisha thread, anayeona Lowassa is better ana confirm kuwa wengine ndio wabaya zaidi!! usichokielewa ni kipi sasa??

I believe this is a joke! :coffee:

siwezi kukusaidia, huna hoja ! uliza swali kutoka kwenye sentensi niliandika, otherwise unajidharaulisha mkuu!

Waberoya kwanini amumsemi Magufuli au mwakyembe wanao chapa kazi na kuwa waadilifu? kama unachapa kazi na ni mchafu kwaheri uitajiki. Anayeitajika ni magufuli prototype.
Kwani mnagawiwa ikishapitishwa dowans?????????? grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr:twitch:

ona conclusion yako imekaa kitoto zaidi kuliko ki-intelectual na hii ni cancer mbaya sana, aliye kinyume na wewe ni adui, huo mgao una hakika nao au ni kiherehere cha kujionyesha unapingana na ufisadi?? ukiwataja akina mwakyembe, magufuli na lowassa wote wale wale, kwani nani aliyekuambia kwenye mgao wa dowans mwakyembe hayumo?? juzi CC ya ccm imekaa na ku-endorse malipo, hao unaowataja ni ccm, wewe umetulia kweli?? tunachofanya hapa ni ku-compare choo cha jirani na chako!

Nisaidie Shule za kata ameanzisha LOWASA au ni ilani ya uchaguzi ya ccm?

so all what Nyerere did was ccm policy?? yaani ukiwa na ilani ya uchaguzi basi inajiendesha yenyewe bila kiongozi!!

Tunamuongelea mtu ambaye ingekuwa China angekuwa keshanyongelewa mbali.

we are not in china my dear! weare in Tz where everyone is assumed to be criminal!

Tunajua Lowasa anataka uraisi na anawatu wake hapa JF Amewatuma hapa kupima joto la hapa hawajui ni la moto ametumia UVCCM anapima hapa hatudanganyiki

wewe ndio unahitimisha huu mjadala, sidhani kama umetendea haki muda wako! hivi unafikiri JF yenye wanachama 20 elfu wote wakisema ccm mbaya ndio ccm haishindi? yaani umeiona JF ina nguvu kiasi hicho kuwa akina Lowassa waje kuangalia joto humu?? are you serious??

halafu cheap conclusion kama hizi zinakufanya uonekane mtu wa vijiweni!! huna evidence no right to speak!! jibu HOJA hizi cheap reply hazikujengi wewe wala JF
 
Alivunja mkataba wa City Water na mpaka leo hakuna maji ya uhakika Dar, alianzisha shule za kata ambazo zimeongeza kiwango cha kufeli na kushuka kwa kiwango cha cha elimu kwa ujumla, hayo masuala ya mvua artificial yalimfanya aonekane kama mpiga ramli. Bado hujanishawishi. tafuta mengine ambayo unadhani kuwa ni mazuri ya Lowassa, haya uliyoyasema yote alifeli, tena sana

Siwezi kusema alifeli kwa sababu hakuwepo madarakani kusimamia utekelezaji wake; naamini ni mtendaji mzuri pamoja na mapungufu aliyonayo; lakini ni bora kuliko Mkwere kwani at least ana kitu cha kumfungamanisha nacho.
 
Umetumwa?

Nafikiri jamaa hajatumwa ila kasema ukweli usio wa uhakika saana,unajua kwa nini? Shule za kata ziliasisiwa na Ben wa ukweli sema tu Lowasa alishadadia na akafanya kwa sifa lakini si kwa kiwango. Kiutendaji aliwafanya wakurugenzi kuwa active tofauti na sasa Mtoto wa Mkulima hana lolote,akiulizwa swali anakujibu tutaishauri serikali na yeye ndiye mtendaji mkuu. Lowassa? Let us give a satan it's due.
 
Hallow, Great thinkers!!!!
Pamoja lawama na takataka zote anazotupiwa Edward Lowassa. Pamoja na mabaya yote aliyonayo Edward Lowassa kama mimi na wewe tulivyo na mabaya yetu, tutakuwa hatumtendei haki Edward Lowassa kama tusipo yatangaza mazuri yake.

Kwangu mimi, Edward Lowassa namuona kama
1. kiongozi bora na anayeweza kusimamia maamuzi yake
2. Kiongozi ambaye yupo tayari kuchukua maamuzi mazito hata kama yataudhi wengi ilimradi yana maslaha kwa taifa
3. Kiongozi ambaye anaweza kulifikisha taifa pale tunapohitaji

Baadhi ya mambo makubwa ambayo huwezi kuyataja bila kumtaja Edward Lowassa ni Uthubutu wake wa kuuvunja mkataba kati ya serikali na city water. Ni yeye aliyeasisi na kusimamia mradi wa shule za kata, though hazifanyi vizuri. Ni Edward Lowassa angalau alionesha nia ya kuleta mvua artificial na ninaamini kama Lowassa angeendelea kuwa PM leo hii uwajibikaji serikalini ungekuwa na mkubwa sana.

Nimegusa tu mazuri ya Laigwanani Lowassa, mazuri yapi ya Lowassa unayajua? Yaandike hapa

Bounce+back+by+Jacob+Zuma.jpg
attachment.php
 
Hallow, Great thinkers!!!!
Pamoja lawama na takataka zote anazotupiwa Edward Lowassa. Pamoja na mabaya yote aliyonayo Edward Lowassa kama mimi na wewe tulivyo na mabaya yetu, tutakuwa hatumtendei haki Edward Lowassa kama tusipo yatangaza mazuri yake.

Kwangu mimi, Edward Lowassa namuona kama
1. kiongozi bora na anayeweza kusimamia maamuzi yake
2. Kiongozi ambaye yupo tayari kuchukua maamuzi mazito hata kama yataudhi wengi ilimradi yana maslaha kwa taifa
3. Kiongozi ambaye anaweza kulifikisha taifa pale tunapohitaji

Baadhi ya mambo makubwa ambayo huwezi kuyataja bila kumtaja Edward Lowassa ni Uthubutu wake wa kuuvunja mkataba kati ya serikali na city water. Ni yeye aliyeasisi na kusimamia mradi wa shule za kata, though hazifanyi vizuri. Ni Edward Lowassa angalau alionesha nia ya kuleta mvua artificial na ninaamini kama Lowassa angeendelea kuwa PM leo hii uwajibikaji serikalini ungekuwa na mkubwa sana.

Nimegusa tu mazuri ya Laigwanani Lowassa, mazuri yapi ya Lowassa unayajua? Yaandike hapa

Amekuahidi kuwa utakuwa mwandishi wa hotuba zake ikulu au Tayari amekupa hisa ????
 
Haiwezekani kwamba mtu akawa na mabaya tu akose zuri hata moja.Sasa kama tutaona hata mchakato wa uanzishaji wa shule za kata halikuwa na msingi utakuwa wendawazimu.Kiukweli elimu shule za kata zipo chini lakini zimechochea fikra za kimageuzi.Nataka niseme kwamba kama vijana wengi na ambao wamekuwa na mwamko mkubwa wa kutaka mageuzi ni kwa sababu wamepita kwenye shule hizo hizo za kata.kama wangebaki pale pale std seven wasingeona na/au wasingepata mwamko wa kuona something is wrong somewhere.Kwamba Mh Lowasa alijiuzulu kwa kashfa ni suala lingine lakini tukubali kiutendaji alijitahidi.Angalia utendaji wa wakurugrnzi enzi zake n.k

Hata kama haiwezekani kwamba mtu akawa na mabaya tu na akose mazuri, lakini kwa huyu mtu na crew yake, hawana mazuri hata kidogo, narudia tena, "HUYO MTU NA CREW YAKE HAWANA MAZURI!
 
Amekuahidi kuwa utakuwa mwandishi wa hotuba zake ikulu au Tayari amekupa hisa ????

Nina ajira nzuri na bora kuliko kuwa karani wa hotuba. Kimsingi ninachokiona humu JF ni kuwa wengi wa members wanapenda ushabiki bila kuangalia uhalisia. Lolote zuri linalofanywa na mpinzani wao lazima walichafue. Ukweli unabakia pale pale, Lowassa ni mchapa kazi sana na ni muwajibikaji, ingawa ana mapungufu yake kama mimi na wewe
 
Nyerere alimkataa 1995 sababu alizotumia kumkataa bado anazo mpaka leo, tafakari

Nyerere alimkataa kwa kuwa walikuwa na tofauti ya kimtazamo. Wakati Nyerere alikuwa ni mfuasi wa ujamaa na sera za Azimio la Arusha, Lowassa ni mfuasi wa soko huria. Na zaidi ya yote, Nyerere hakuwa nabii kwamba kila atachosema ni ufunuo. Bali alikuwa aki-express mawazo yake kama wewe unavyofanya sasa.
 
Nina ajira nzuri na bora kuliko kuwa karani wa hotuba. Kimsingi ninachokiona humu JF ni kuwa wengi wa members wanapenda ushabiki bila kuangalia uhalisia. Lolote zuri linalofanywa na mpinzani wao lazima walichafue. Ukweli unabakia pale pale, Lowassa ni mchapa kazi sana na ni muwajibikaji, ingawa ana mapungufu yake kama mimi na wewe

Kua kila mtu ana mapungufu kama mimi na wewe ni kuhalalisha uzembe - kuongoza serikalini si kama imani za dini. Ni bora tukatafuta viongozi wapya ili na mawazo mapya yaje kuliko kurudia watu walewale kina LOWASA wakati vijana kila siku wanazidi kuongezeka. Kina Lowasa hata kwenye uongozi wa juu CCM ni muda wao wa kupumzika.

Alichokifanya kizuri Lowasa kinafutwa na DOWANS - hivyo hatufai tena. Ni muda wa damu mpya, mazuri yake kama yapo watayaona watakaochukua nafasi yake na kuyaendeleza.
 
hallow, great thinkers!!!!
Pamoja lawama na takataka zote anazotupiwa edward lowassa. Pamoja na mabaya yote aliyonayo edward lowassa kama mimi na wewe tulivyo na mabaya yetu, tutakuwa hatumtendei haki edward lowassa kama tusipo yatangaza mazuri yake.

Kwangu mimi, edward lowassa namuona kama
1. Kiongozi bora na anayeweza kusimamia maamuzi yake
2. Kiongozi ambaye yupo tayari kuchukua maamuzi mazito hata kama yataudhi wengi ilimradi yana maslaha kwa taifa
3. Kiongozi ambaye anaweza kulifikisha taifa pale tunapohitaji

baadhi ya mambo makubwa ambayo huwezi kuyataja bila kumtaja edward lowassa ni uthubutu wake wa kuuvunja mkataba kati ya serikali na city water. Ni yeye aliyeasisi na kusimamia mradi wa shule za kata, though hazifanyi vizuri. Ni edward lowassa angalau alionesha nia ya kuleta mvua artificial na ninaamini kama lowassa angeendelea kuwa pm leo hii uwajibikaji serikalini ungekuwa na mkubwa sana.

Nimegusa tu mazuri ya laigwanani lowassa, mazuri yapi ya lowassa unayajua? Yaandike hapa

wewe ndio james ole millya
 
yaani wewe mfala mfala kupita maelezo. Mzalendo maaaaaaaviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisa.
 
Back
Top Bottom