Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Leo majira ya saa8 mchana nilimsindikiza my wife alikuwa anasafiri na Fly Emirates....nilimfikisha JNIA(JULIUS NYERERE INT. AIRPORT) Salama salimini...niliendelea kukaa maeneo ya kiwanja mpaka saa 1 baadae...mara kukatokea taharuki,Ndege ya Emirates inarudi..polisi wanakmbiakimbia,watu wa usalama wa Taifa,wategua mabomu na Mbwa zao za kunusa mabomu wakaizunguka Ndege...ajabu na kweli n kuwa Rubani alishindwa kuendelea na safari baada ya abiria kugundulika kuwa amepanda na silaha(pisto)...ikawa taharuki kwa Rubani hewani ikabidi arudishe ndege..maswali yakawa je usalama u wap ktk uwanja wetu?mpaka mtu amepita na silaha adi ndani ya ndege,je vyombo vyetu vya usalama JNIA vinafanya nini?na kama uyo Mama(mmiliki wa silaha) asingejisalimisha kwa pilot usalama wa abiria wengne ukoje? TUNAOMBA MAMLAKA HUSIKA ZIWAJIBIKE!