Uongozi wa Chuo cha ualimu Kabanga kilichopo Mkoa wa Kigoma uchukuliwe hatua kwa matumizi mabaya ya fedha za serikali.
1.Mnamo mwaka 2011 ulipitisha mchango wa shilingi 20000 kwa kila mwanachuo kwa ajili ya ujenzi wa maktaba haikujengwa pesa zikaibiwa.
2.mnamo 2013 mchango ulichangishwa pia kwa Mwanafunzi waliokuwa wanaanza mwaka wa masomo shilingi 20000 kwa ajili ya ujenzi wa maktaba hiyo haikujengwa pia hela zikaibiwa.
3.mwaka 2014 Chuo kupitia uongozi wake kiliingia mkataba na shirika lisilo la kiserikali la EQUIP linalofanya kazi ya kuinua ubora wa elimu kupitia mafunzo ya waalimu wa Shule za msingi, uongozi ulisaini mkataba wa shirika hilo ili wakufunzi shirika liwe linawatumia kutoa mafunzo kwa waalimu wa Shule za msingi na Chuo kitakuwa kinalipwa asilimia 50% ya malipo atakayopewa mkufunzi kila anapowezesha bila makubaliano kati ya shirika na wakufunzi.
4.mwaka 2016 serikali kupitia waziri Mkuu imesitisha michezo kama umiseta .uongozi wa Chuo hicho umechangisha kila mwanachuo 20000 kwa ajili ya michezo ya kanda na zimeibiwa.
Serikali chukueni hatua juu ya Chuo hiki.
1.Mnamo mwaka 2011 ulipitisha mchango wa shilingi 20000 kwa kila mwanachuo kwa ajili ya ujenzi wa maktaba haikujengwa pesa zikaibiwa.
2.mnamo 2013 mchango ulichangishwa pia kwa Mwanafunzi waliokuwa wanaanza mwaka wa masomo shilingi 20000 kwa ajili ya ujenzi wa maktaba hiyo haikujengwa pia hela zikaibiwa.
3.mwaka 2014 Chuo kupitia uongozi wake kiliingia mkataba na shirika lisilo la kiserikali la EQUIP linalofanya kazi ya kuinua ubora wa elimu kupitia mafunzo ya waalimu wa Shule za msingi, uongozi ulisaini mkataba wa shirika hilo ili wakufunzi shirika liwe linawatumia kutoa mafunzo kwa waalimu wa Shule za msingi na Chuo kitakuwa kinalipwa asilimia 50% ya malipo atakayopewa mkufunzi kila anapowezesha bila makubaliano kati ya shirika na wakufunzi.
4.mwaka 2016 serikali kupitia waziri Mkuu imesitisha michezo kama umiseta .uongozi wa Chuo hicho umechangisha kila mwanachuo 20000 kwa ajili ya michezo ya kanda na zimeibiwa.
Serikali chukueni hatua juu ya Chuo hiki.