Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,025
This is exactly what is wrong with Africa. Mkifute ili nini? Kinachotakiwa nikwaonyesha jinsi yakuendesha serikali ili wawe opposition wajifunze. Dejure and De facto lazima watakuwa the main opposition party in the short to medium term. How can you have an adversarial system of government bila kuwa na opposition. Itakuwa one CCM for one CDM. Wataiba tuu... Its a fact kwasababu ndio watanzania wenyewe sisi. Lazima kuwa na balance of power. Tusifanya makosa ya kufikiri kuwa kuna chama fulani ambacho kimetumwa na Mungu or something. Wote hawa wanasiasa ama angalau wengi wao ni wale wale.
wakijifunza halafu iweje??ulisikia wapi mwanafunzi anajifunza miaka 50 bila kuelewa??waingie tena madarakani wazidi kutufilisi na kile ambacho tulishakianza kukijenga...??kifutwe