SUNGUSIA
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 232
- 16
Ivi JEYKEYWAUKWELI we ni mtanzania kweli ndugu yangu au ni ushabiki tuu usio kuwa na msingi kwako na kwa familia yako, wewe hali ya nchi yetu umeiona lakini Giza, maji hakuna mikataba mibovu,IPTL, DOWANS madini kama Tanzanite yanapatikana Tanzania pekee Duniani na vingine Vingi mwananyamala hospital mama zetu na ndugu zetu wanakufa kwa huduma mbaya viongozi wao wanatembelea ma VX V8,
Thamani ya VX moja ni vitanda vya Mwananyamala hospitali nzima ambayo sasa ndugu zetu wanalala wawili wawili mmoja anakifua kikuu mwingine HIV pima hilo. wakati wizara moja ya JEykey ina VX 50 na VX moja ni 280milioni sasa wewe bado tuu hili kwako huoni.
Jaribu kuacha ushabiki na ukae ufikiri kwamba kesho wewe na huo mfereji wa ufisadi ulio kupitia mpaka unapata vihela vya kuishi na kuwa mshabiki utaisha na watoto wako watakuja kuteseka kwa maisha kama haya yasio kuwa na matumaini, jaribu kuwa mzalendo na Mtanzania wa kweli sio mshabiki. sio CHADEMA WALA CCM BALI NI SISI WANANCHI NDIO WAKULETA MAENDELEO KATIKA NCHI YETU TUBADILIKE NDUGU ZANGU.
Thamani ya VX moja ni vitanda vya Mwananyamala hospitali nzima ambayo sasa ndugu zetu wanalala wawili wawili mmoja anakifua kikuu mwingine HIV pima hilo. wakati wizara moja ya JEykey ina VX 50 na VX moja ni 280milioni sasa wewe bado tuu hili kwako huoni.
Jaribu kuacha ushabiki na ukae ufikiri kwamba kesho wewe na huo mfereji wa ufisadi ulio kupitia mpaka unapata vihela vya kuishi na kuwa mshabiki utaisha na watoto wako watakuja kuteseka kwa maisha kama haya yasio kuwa na matumaini, jaribu kuwa mzalendo na Mtanzania wa kweli sio mshabiki. sio CHADEMA WALA CCM BALI NI SISI WANANCHI NDIO WAKULETA MAENDELEO KATIKA NCHI YETU TUBADILIKE NDUGU ZANGU.