Elections 2010 Uongozi wa ccm umefanikiwa kitu gani tanzania? Tunaendelea kujenga mafisadi?

niweze

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
1,008
116
Uongozi Ndio Tatizo Inchini Kwetu. Historia ya Uongozi Bora Tanzania Haipo Upande wa CCM Kabisa. Tumeona Jinsi Gani Wanachukua Hizi Nafasi za Uongozi kwa Sherehe na Familia Zao Kufanya Mapati "Mzee Kawini". Mengi na Makubwa Wameharibu Inchini, Kitu cha Ajabu ni Kwamba Hakuna Mahali Tumesikia Wanataka Kurekebisha na Tukaona Kweli Wanajitahidi. Leo Hii Tunasikia Hawa Mawaziri Wakisema Nitajenga Barabara, Nitarekebisha Elimu Tanzania na Wengine Wanasema Hakuna Haja ya Marekebisho ya Katiba. Wanainchi Tuendelee Kuwachakunua Maneno Yao na Ahadi Zisizo na Mipango. Kama Kiongozi Anatoa Ahadi ya Kubadilisha Elimu Lazima Utetee na Ushahidi Jinsi Gani na Njia Gani Utatumia Kuirekebisha Hii Elimu. Haya Maneno na Ahadi za Uongo Tumezisikia Kila Leo na Kilichobaki ni Umaskini wa Hali ya Juu Unaendelea...Mawaziri Karibu Wote Pamoja na JK they don't Have Any Idea How to Build Policies and How You Implement Them. Most of Policies in Tanzania are Built in Dictatorial System, Only One Person Have a Say... How in the World This Will Work?

Kitu cha Kusikitisha ni Kwamba Tuna Miaka Mitano ya CCM na Wengi Tunauhakika CCM Watakacho Kifanya ni Kutumia Pesa Kununua Wapinzani na Kuendelea Kumaliza Demokrasia ya Inchi. Hii Ndio Kazi ya Usalama wa Taifa Tanzania Sio Kutafuta Criminals Bali Wapinzani. Kwanini Wananchi Walioelimika Wanaendelea Kukaa Kimya Katika Maswala Mengi Kama Katiba na Uchumi? Hii Inchi Imeharibika Sana na Sijui Kwanini Kama CCM Wameshindwa Wasiache Demokrasia na Wengine Waongoze? Huu Umaskini wa Mawazo Kama Haya Unatokana na Nini?

"Tanzania Ipo Africa Lakini Sio Lazima Ifanane na Rushwa za Kenya na Udikteta wa Uganda"
 
Umefanikiwa kuleta demokrasia na ndio maana leo unaona tunaweza kuwa na vyama vingi na tukasema na kuweza kuchambuwa pumba na pepeta. Hilo moja tosha kabisa zaidi ya jingine lolote.
 
Uongozi Ndio Tatizo Inchini Kwetu. Historia ya Uongozi Bora Tanzania Haipo Upande wa CCM Kabisa. Tumeona Jinsi Gani Wanachukua Hizi Nafasi za Uongozi kwa Sherehe na Familia Zao Kufanya Mapati "Mzee Kawini". Mengi na Makubwa Wameharibu Inchini, Kitu cha Ajabu ni Kwamba Hakuna Mahali Tumesikia Wanataka Kurekebisha na Tukaona Kweli Wanajitahidi. Leo Hii Tunasikia Hawa Mawaziri Wakisema Nitajenga Barabara, Nitarekebisha Elimu Tanzania na Wengine Wanasema Hakuna Haja ya Marekebisho ya Katiba. Wanainchi Tuendelee Kuwachakunua Maneno Yao na Ahadi Zisizo na Mipango. Kama Kiongozi Anatoa Ahadi ya Kubadilisha Elimu Lazima Utetee na Ushahidi Jinsi Gani na Njia Gani Utatumia Kuirekebisha Hii Elimu. Haya Maneno na Ahadi za Uongo Tumezisikia Kila Leo na Kilichobaki ni Umaskini wa Hali ya Juu Unaendelea...Mawaziri Karibu Wote Pamoja na JK they don't Have Any Idea How to Build Policies and How You Implement Them. Most of Policies in Tanzania are Built in Dictatorial System, Only One Person Have a Say... How in the World This Will Work?

Kitu cha Kusikitisha ni Kwamba Tuna Miaka Mitano ya CCM na Wengi Tunauhakika CCM Watakacho Kifanya ni Kutumia Pesa Kununua Wapinzani na Kuendelea Kumaliza Demokrasia ya Inchi. Hii Ndio Kazi ya Usalama wa Taifa Tanzania Sio Kutafuta Criminals Bali Wapinzani. Kwanini Wananchi Walioelimika Wanaendelea Kukaa Kimya Katika Maswala Mengi Kama Katiba na Uchumi? Hii Inchi Imeharibika Sana na Sijui Kwanini Kama CCM Wameshindwa Wasiache Demokrasia na Wengine Waongoze? Huu Umaskini wa Mawazo Kama Haya Unatokana na Nini?

"Tanzania Ipo Africa Lakini Sio Lazima Ifanane na Rushwa za Kenya na Udikteta wa Uganda"
Ina maana na wewe CCM itakununua? Acha kuogopa kivuli chako. Serikali ya CCM ni moja kati ya Serikali zinazoongoza Afrika kwa kukuza demokrasia na utawala bora. Hilo la rushwa liko kila mahali, lakini angalau Tanzania ina rekodi ambayo ni afadhali kati ya nchi za Afrika Mashariki na nchi nyingi tu za Afrika. Na huu si utafiti wangu. Wataalamu wa utafiti duniani wanasema hivyo. Kuinua uchumi wa jumla na kuboresha huduma za jamii na miundombinu CCM imefanya vizuri sana. Sasa kazi kubwa ni kuufikisha uchumi huu umfaidishe mtanzania mmoja mmoja. Ndiyo changamoto, ambayo 2010 - 2015 CCM itajielekeza. Tatizo sikwamba CCM haijafanya kitu, bali CCM imekaa madarakani muda mrefu madarakani, watu mngependa tu mabadiliko, for the sake of it!
 
CCM haiwezi kununua wana mapinduzi wa kweli, wale watakaonunuliwa ni fake, wanaotafuta tu maslahi yao na hivyo hawafai anyway---so wacha ccm iwanunue hao opportunists so that opposition ibaki na true democrats, watakuwa wamesaidia kutenganisha/ondoa chuya kwenye mchele
 
Kama tukiendelea kuongozwa na ccm, mwisho wetu umefika. No development under ccm
 
Umefanikiwa kuleta demokrasia na ndio maana leo unaona tunaweza kuwa na vyama vingi na tukasema na kuweza kuchambuwa pumba na pepeta. Hilo moja tosha kabisa zaidi ya jingine lolote.
si kwa sababu ilibidi mfanye hivyo na kupenda sifa kwenu maana kama mnge kataa sijui kama safari za nje kila kukicha sijui kama ingewezekana.....mimi naona mlicho fanikiwa ni kulea ufisadi
 
Kweli Mwananchi Kama Huyu Ndio Wanaoendelea Kumaliza Wananchi Wao. Sijui Huyu ni Jirani ya Nani? Inawezekana Wamefanikiwa Sana Kimaisha Kutokana na Sera za CCM na Anaona Demokrasia ya CCM ni Kati ya Demokrasia Bora Afrika, Kweli Umaskini wa Mawazo Ndio Huu. Tukianza Kuzungumzia Uchumi wa Tanzania, Unamwelekeo wa Wapi? Tujibu Kama Unajua Huu Uchumi ni Socialism au Capitalism? Tupe Vision ya Kikwete kwa Inchi Yako? Tueleze Kwanini Viongozi wa CCM Peke Yao Ndio Wenye Uwezo wa Maisha ya Kumudu Tanzania? Huu ni Mfumo Gani wa Uchumi Duniani (sisiminism)? Unaruhusu Only Leaders to be Able Create Wealth? Hao Wafanyabiashara Tunaofikiria ni Wafanyabiashara Ndio Hao Wanaumizwa Kwa Sababu Bila Kushirikiana na CCM Wanakumaliza. Hivi Ndivyo Unajenga Nchi na Kunyanyua Maisha ya Wananchi Wako? Ni Vizuri Kudiscuss Solutions Kama Unazo ili Ujenge Inchi Yako Acha Kufuata Mkia. Tanzania Sio Inchi ya Kwanza Kuwa na Viongozi Wabaya, Zaire Mabutu Alitawala na Mpaka Leo Wazaire Wamegawanyika na Kila Mahali Duniani Utaona Wakongo Wanahangaika. Unataka Tanzania Ifikie Hali Hii au Wewe ni Mmojawapo wa Hawa green guards? Upotofu Mtupu...Do Your Research Before Spill Out Pombe.

"Always We Should Focus on Transparency and Dialog with Hostage Takers Might Not Bring Results"
 
Kwani tanzania uliyonayo leo mafanikio yake yanafanana na ile ya kbalea ya CCM(TANU). Muwe na tabia ya kushukuru na sio kukufuru tu. Ndio maana mnamkufuru hata mwenyezi mungu kwa kukosha shukrani kwake.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom