<br />Mkuu unacheki msimamo wao ni nini. Haya mimi nipo pembeni naangalia
<br />Wanajf wawili wameshinda uongozi chadema jimbo la ukonga. Mikael Aweda-m/kiti, Mwita Maranya-mjumbe kamati ya utendaji.
<br />Wanajf wawili wameshinda uongozi chadema jimbo la ukonga. Mikael Aweda-m/kiti, Mwita Maranya-mjumbe kamati ya utendaji.
Hebu badili haraka kichwa habari yako kwenye thread yako!JF, haina chamaWanajf wawili wameshinda uongozi chadema jimbo la ukonga. Mikael Aweda-m/kiti, Mwita Maranya-mjumbe kamati ya utendaji.
Usitudanganye hapa hii nchi ni ya waTAnganyika na haina mwenyewe. Huyo anayejidai ni mwenyewe asubiri 2015 kisu kimpitia. Eti nchi ina mwenyewe. MWENYEWE my foot!!Hongereni sana ila mjifunze maadili ya uongozi kabla ya kujifanya mna uchungu na hii nchi. Hii nchi ina wenyewe na yeyote anayekuja ni wa kupita tu.
we mfu..kale futari!Hebu badili haraka kichwa habari yako kwenye thread yako!JF, haina chama
Wewe akili yako ilivyokuwa imejaa mafuta ya taa unadhani wote wanaopingana na sera za CDM wote ni Waislam, mimi ni Pagan ata hiyo futari sijui ni nini.we mfu..kale futari!
<br />wameshinda katika uchaguzi upi? au wameokotana na kugawana vyeo! muundo wa chama huanzia matawi, chadema ukonga hakuna matawi kuna bendera juu ya miti?
<br />Hebu badili haraka kichwa habari yako kwenye thread yako!JF, haina chama
<br />Mkuu Mwita Maranya hongera. Angalia sasa usije parurana Aweda kwenye Ubunge. Ila najua wewe upande huo una mtaji wa kutosha. Hongera songeni mbele 2015 haiko mbali.
<br />safi sana makamanda wetu tujipange vizuri tuwaelimishe watu wa Dar wawe kama wa hapa arusha wakuu..
<br /><br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
nina furaha mno,hongereni sana mikael aweda na mwita maranya.Mimi niko machimbo,je nijisajili tawi gani la karibu?