twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 459
Naomba mtoe kipaumbele kwa wanafuzi wa first year ktk utoaji wa hosteli za ndani hususani wale waliowahi kuanzia jana kwani wengi wao ni wageni wa mji..!
first year mpaka muda huu hawana pa kukaa na hawajui pa kwenda zaidi ya nusu ya wanafunzi