Uongozi CHADEMA wajivunia Pombe kuitwa ''UKAWA''

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Habari za Jumapili wakuu!

Katika kusoma soma magazeti nimeshutushwa na habari iliyofananisha ''ulevi'' wa pombe eti ni kama Ukawa;nimeshitushwa zaidi baada ya kubaini kwamba mwandishi kupata hisia rasmi kutoka kwa msemaji wa Chadema Bwana Tumaini Makene akionesha kujivunia kwa Ukawa kufananishwa na Pombe. (soma Mwananchi,28/02/2016)

Bw.Njau ambaye ni muuzaji wa baa mkoa wa Kilimanjaro anasema bia hiyo ya Pilsner ilipata jina hilo la ukawa kipindi cha uchaguzi Oct,2015,wanasiasa hasa wa ukawa waliwanunulia wafuasi ili kupata uungwaji mkono na wanywaji wengi walikuwa ni Ukawa na Kwa Kilimanjaro ni Chadema, bia hii pia inauzwa sehemu mbalimbali jijini Dar ambapo jina lake maarufu ni ukawa

Hoja zangu;
1. Je ukawa kwa kupitia pombe inajihuisha na wanyonge au walevi?.
2. Kwa Tumaini Makene kusifia chama kuwa ''branded'' na pombe inafanya chama kuwa cha walevi?
3. Ni kweli vijana wengi wa chadema hutumia ''viroba'',bange nk hasa kwenye mikutano?
4. Ni lazima mtu ili kuwa mlevi ili kuwa mwana ukawa/chadema?
5. Ni kweli chadema ni chama maarufu kwenye mabaa?
6. Je viongozi wa chadema/ukawa hutowa maamuzi ya kilevi?
8. Je kuna hatari nchi kuwa ya walevi endapo chadema/ukawa ingechukuwa nchi?
9. Je maoni/hoja nyingi za wanaukawa huchagizwa na matusi sababu ya ulevi?
10.Je hasira za wanaukawa huwa ni sababu ya uzalendo au ulevi?

Tujadili mada hii ili kupata maendeleo/suluhisho la hapa siasa na sera za vyama vyetu zilipo na sio kutafuta mshindi!
 
Chadema ni chama kinachoongozwa na falsafa ya viroba so usishangae kabisa.
Kama Vile vya Escrow au? By the way Kwenye Kampeni Kuna matangazo, na mara nyingi Kampeni za aina mbalimbali zinatumia ujumbe wao katika bidhaa inayotumiwa kwa frequency kubwa kama Pombe, Soda, Maji, Juice, Pakiti za Unga nk. Ila CCM Mngefaa Muweke Matangazo yenu Kwenye Pakiti za Mipira ya usalama! Na Pia Mngemwomba Yule Mtoto wa Nanilii akwawawekea Matangazo yenu Kwenye Pakiti zake za Ule Unga wa naniii Hoja Zingine bwana!
 
Habari za Jumapili wakuu!

Katika kusoma soma magazeti nimeshutushwa na habari iliyofananisha ''ulevi'' wa pombe eti ni kama Ukawa;nimeshitushwa zaidi baada ya kubaini kwamba mwandishi kupata hisia rasmi kutoka kwa msemaji wa Chadema Bwana Tumaini Makene akionesha kujivunia kwa Ukawa kufananishwa na Pombe. (soma Mwananchi,28/02/2016)

Bw.Njau ambaye ni muuzaji wa baa mkoa wa Kilimanjaro anasema bia hiyo ya Pilsner ilipata jina hilo la ukawa kipindi cha uchaguzi Oct,2015,wanasiasa hasa wa ukawa waliwanunulia wafuasi ili kupata uungwaji mkono na wanywaji wengi walikuwa ni Ukawa na Kwa Kilimanjaro ni Chadema, bia hii pia inauzwa sehemu mbalimbali jijini Dar ambapo jina lake maarufu ni ukawa

Hoja zangu;
1. Je ukawa kwa kupitia pombe inajihuisha na wanyonge au walevi?.
2. Kwa Tumaini Makene kusifia chama kuwa ''branded'' na pombe inafanya chama kuwa cha walevi?
3. Ni kweli vijana wengi wa chadema hutumia ''viroba'',bange nk hasa kwenye mikutano?
4. Ni lazima mtu ili kuwa mlevi ili kuwa mwana ukawa/chadema?
5. Ni kweli chadema ni chama maarufu kwenye mabaa?
6. Je viongozi wa chadema/ukawa hutowa maamuzi ya kilevi?
8. Je kuna hatari nchi kuwa ya walevi endapo chadema/ukawa ingechukuwa nchi?
9. Je maoni/hoja nyingi za wanaukawa huchagizwa na matusi sababu ya ulevi?
10.Je hasira za wanaukawa huwa ni sababu ya uzalendo au ulevi?

Tujadili mada hii ili kupata maendeleo/suluhisho la hapa siasa na sera za vyama vyetu zilipo na sio kutafuta mshindi!


We ndo unajua leo kama nyumbu hupewaga viroba ili waende kwenye mikutano ????? Nilishuhidia 2010 nyamagana nyumbu walikua wanapewa "kiroba original" na yule nyumbu wao aliyekosa ubunge mwaka huu wenjela
 
We ndo unajua leo kama nyumbu hupewaga viroba ili waende kwenye mikutano ????? Nilishuhidia 2010 nyamagana nyumbu walikua wanapewa "kiroba original" na yule nyumbu wao aliyekosa ubunge mwaka huu wenjela
Dah hakika kwa hulka hii vipaji vinaangamia.
 
Kama Vile vya Escrow au? By the way Kwenye Kampeni Kuna matangazo, na mara nyingi Kampeni za aina mbalimbali zinatumia ujumbe wao katika bidhaa inayotumiwa kwa frequency kubwa kama Pombe, Soda, Maji, Juice, Pakiti za Unga nk. Ila CCM Mngefaa Muweke Matangazo yenu Kwenye Pakiti za Mipira ya usalama! Na Pia Mngemwomba Yule Mtoto wa Nanilii akwawawekea Matangazo yenu Kwenye Pakiti zake za Ule Unga wa naniii Hoja Zingine bwana!
Jadili hoja mkuu usiyumbeyumbe!
 
Katika kusoma soma magazeti nimeshutushwa na habari iliyofananisha ''ulevi'' wa pombe eti ni kama Ukawa;nimeshitushwa zaidi baada ya kubaini kwamba mwandishi kupata hisia rasmi kutoka kwa msemaji wa Chadema Bwana Tumaini Makene akionesha kujivunia kwa Ukawa kufananishwa na Pombe. (soma Mwananchi,28/02/2016)

Angalia wafuasi wengi wa CHADEMA ni CHAPOMBE usinibishie fanya utafiti mwenyewe kokote uliko.Makene yulko sahihi bendera ya UKAWA ilibidi iwe na nembo ya pombe
 
Hivi nyie maccm hamjui kuwa serikali inapata kodi kubwa sana kupitia Pombe. Ukiona barabara basi ujue pombe inahusika, hivyo hivyo dawa za binadamu, shule nk. Bw. Makene kasema ukawa ipo mioyoni mwa watanzania hivyo kila kitu kizuri kwao si vibaya kujikumbushia kwa jina ukawa. Kizuri ni kuwa pombe si jinai, tofauti na yule mbunge wa ccm anaetaka bangi ikubalike!
 
Hivi nyie maccm hamjui kuwa serikali inapata kodi kubwa sana kupitia Pombe. Ukiona barabara basi ujue pombe inahusika, hivyo hivyo dawa za binadamu, shule nk. Bw. Makene kasema ukawa ipo mioyoni mwa watanzania hivyo kila kitu kizuri kwao si vibaya kujikumbushia kwa jina ukawa. Kizuri ni kuwa pombe si jinai, tofauti na yule mbunge wa ccm anaetaka bangi ikubalike!
Ukawa=pombe...kwa hiyo pombe iko mioyoni mwao?
 
je JOHN POMBE MAGUFULI na hilo nalo ni adivatise ya pombe au


swissme
 
Back
Top Bottom