Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Mdingi m1 alikua anadaiwa, siku ya kulipa ikafika akawa hana "mshiko" wa kulipa deni, hivyo akamwambia mwanae mdogo wa kiume: "Baba PM akija mwambie baba amesafiri kwenda Zanzibar". Muda si mrefu mdai akafika, mazungumzo yalikua hivi:
Mdai: Kijana hujambo?
Mtoto: Sijambo shkamo'
Mdai: Marhabaa, baba nimemkuta?
Mtoto: Baba hayupo, amesafiri kwenda Zanzibar.
Mdai: Amesema atarudi lini?
Mtoto: Daah, hiyo hajaniambia, subiri kidogo niende ndani nikamuulize!
Mdai: Kijana hujambo?
Mtoto: Sijambo shkamo'
Mdai: Marhabaa, baba nimemkuta?
Mtoto: Baba hayupo, amesafiri kwenda Zanzibar.
Mdai: Amesema atarudi lini?
Mtoto: Daah, hiyo hajaniambia, subiri kidogo niende ndani nikamuulize!