Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Asante dada. Dawa ni damu ya Yesu pekee!Nasisitiza dawa pekee ni DAMU ya YESU
Asante dada. Dawa ni damu ya Yesu pekee!Nasisitiza dawa pekee ni DAMU ya YESU
Nasisitiza dawa pekee ni DAMU ya YESU
Uzushi wapi?
Maana hili halikuanzia hapa JF kumbuka limeanzia mtaani hukohuko kabla ya kuja JF.
Unadhanije kwamba ni uzushi? kwani nini uanadhani haiwezi kuwa kweli?
Uvumi wa mwanamke aliyeota manyoya na kisha kupotea umeleta athari nyingi sana.
miongoni mwa athari hizo ni kwamba wale watoaji sadaka kwa ombaomba wa maeneo ya daraja hilo na ombaomba wengine waliozagaa kwenye mitaa mingi ya jiji hili wamekuwa wazito kutoa hizo sadaka na kupelekea kipato cha maomba omba kupungua.
Mwanangu anayesoma Olympio amekuwa akiweweseka usiku kwa kuongea maneno yasiyoeleweka. Ukimwamsha na kumuuliza alikuwa anaota nini, anakwambia kuwa ameota konda kamteremsha Sarenda darajani halafu kakutana na mtu mwenye manyoya ya paka kampeleka kuzimuni.
Mwanangu amekuwa akikosa raha na amekuwa mwingi wa mawazo, kula yake imekuwa ya taabu na hana raha kabisa.
Ukweli wale Omba omba huwa waanikwaza sana. huwa kila siku najiuliza inawa kweli hawana hata ndugu wa mbali ambao ana uwezo kidogo kuwasaidia? sisi wengine mbona tuna ndugu huko vijijini mbao wengine ni wazee sana na wengine hawajiwezi, tunajitahidi kuwasaidia? ukweli wanakera sana. Natamani sana siku niamke nisione hata ombaomba mmoja
Habari ya mtoto inaendeleaje mzee, I hope umemfanyia cancelling kwanihilo sio tatizo la hospital. kama anaendelea na ndoto mpeleke ktk maombi na afanyiwe cancelling yatosha, kisha mueleze asipendelee kukaa ktk story za aina hiyo zitampatia matatizo at the end.
Hivi ombaomba haezi kusaidiwa kwa utaratibu mwingine mpaka wakae majiani?
Hata najiuliza hivi JK ataacha lini safari za ng'ambo kuombaomba. Hivi hawezi kuishi bila kuombaomba.
Juzi tu katangaza kua kwa mapenzi aliyonayo kwa waTZ, serikali yake ina mpango mkubwa wa kutokomeza malaria kwa kutumia vyandarua vya dawa, lakini bila aibu akamlizia kwa kusema 'viandarua atatoa Bush'.
Ombaomba hana haya, kaziuza zote pamoja na utu wake.
Hizo zote kama serikali ni ombaomba kwanini watu wake wasiwe ombaomba?? hapa ndio kuna tatizo kubwa sana maana kuna kila sababu ya kuona jinsi ya kufanya kusaidia maeneo yao wanakotoka huko na kuboresha maisha yao
Kwa tatizo la mtoto wa mtoa mada (Kiranja mkuu) Hayo mengine ni sawa kabisa maana Neno la Mungu ni kweli na amina.Dawa ya umaskini au dawa ya "watu kupotea katika mazingira ya ajabu"?
Kama ni kuhusu umaskini soma Kumbukumbu la Torati 15:11.
Sina biblia ya kiswahili hapa lakini kwa kiingereza Deuteronomy 15:11 - "There will always be poor people in the land. Therefore I command you to be openhanded toward your brothers and toward the poor and needy in your land."
AiseeUkweli wale Omba omba huwa waanikwaza sana. huwa kila siku najiuliza inawa kweli hawana hata ndugu wa mbali ambao ana uwezo kidogo kuwasaidia? sisi wengine mbona tuna ndugu huko vijijini mbao wengine ni wazee sana na wengine hawajiwezi, tunajitahidi kuwasaidia? ukweli wanakera sana. Natamani sana siku niamke nisione hata ombaomba mmoja
Tunakukumbuka, endelea kulala kwa amaniha ha ha!nimecheka sana hapo nilipo bold.
a lie....pole sana mkuu. lazima hii stori kapigiwa na wenzake shule huko. u have to tell him that its a liar.