we mdada unamambo!Kwanza nikikuambia uongo ujue nakudharau hata ukigundua ni uongo sijali.
Kwanza nikikuambia uongo ujue nakudharau hata ukigundua ni uongo sijali.
we mdada unamambo!
Asa km umetaka kudanganywa je,mie nitafanyaje,nakudanganya weeeeeeeeeeeeeee,alafu wala sijisumbui kumbuka hata tukikutana akija vibaya nakudanganya kwa mata nyingine,tena inakuwa tofauti na uwongo wa mwanzo,kwa taarifa yako kila anayedanganywa ameomba kudanganywa bila kujua au kwa kujua.kama unapenda kusema uongo uwe unakumbuka ulichodanganya kwan kuna siku uongo wote utakutokea puani
Asa km umetaka kudanganywa je,mie nitafanyaje,nakudanganya weeeeeeeeeeeeeee,alafu wala sijisumbui kumbuka hata tukikutana akija vibaya nakudanganya kwa mata nyingine,tena inakuwa tofauti na uwongo wa mwanzo,kwa taarifa yako kila anayedanganywa ameomba kudanganywa bila kujua au kwa kujua.
kuna mshkaji wangu mmoja alikua anamtaka demu flani sasa akataka nisimuite kwa jina lake akiwa na yule demu... na mimi nilikubali ila kwa sababu ya mazoea nilijisahau siku moja,,,, daaah jamaa alimind kinyama ninakumbuka nilikua olevel yani alimind mpaka leo sielewi alimind nini....!kama unapenda kusema uongo uwe unakumbuka ulichodanganya kwan kuna siku uongo wote utakutokea puani