hapa kosa kuwa mwanaCDM angekuwa CCM angeendelea kama waadhiri wenzake ambao ni walezi wa matawi ya wanafunzi chuoni hapo , uhuru wa kweli bado sana tzmkuu kipo kiliwakilisha vizuri sana mashindano ya zain challenge mwaka juzi,back to the topic huyu mhadhiri anafukuzwa kwa sababu kajihusisha na siasa au kwa sababu hakidhi viwango?