acha pombe !
acha pombe !
Toa sababu:A S-rap::A S-rap:
Toa sababu:A S-rap::A S-rap:
Haina faida mwilini, inachosha mwili, inaongeza sumu mwilini, inaleta ubinafsi kwenye familia (unakunywa pombe wenyewe bila kuwashirikisha familia yako), inaharibu bajet ya familia, ni motisha au chanzo kikubwa au cha uasherati na uzinzi, chanzo cha kuvuruga ndoa, etc.
,
Kunywa maji ongeza uhai wako (unapokunywa maji unaongeza oxjen mwilini (H2O)! Oxjen ndiyo tunavuta na inaongeza uhai, usipokua na O2 mwilini c unajua madhara yake? Unapokua na O2 ya kutosha mwilini kuna faida nyingi
drink beer to save water.acha pombe !
Haina faida mwilini, inachosha mwili, inaongeza sumu mwilini, inaleta ubinafsi kwenye familia (unakunywa pombe wenyewe bila kuwashirikisha familia yako), inaharibu bajet ya familia, ni motisha au chanzo kikubwa au cha uasherati na uzinzi, chanzo cha kuvuruga ndoa, etc.
,
Kunywa maji ongeza uhai wako (unapokunywa maji unaongeza oxjen mwilini (H2O)! Oxjen ndiyo tunavuta na inaongeza uhai, usipokua na O2 mwilini c unajua madhara yake? Unapokua na O2 ya kutosha mwilini kuna faida nyingi