Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
Wakubwa naomba mnifunze kitu hapa, nimekuwa nikisikia kuwa unywaji wa maji wakati unakula au mara baada ya kula sio mzuri. Inasemekana unahitajika kupumzika walau saa moja kisha ndo unywe maji.
Sasa swali langu ni hili, je unywaji wa chai wakati unakula unamadhara gani! Coz binafsi napenda kimiminika cha moto nikiwa nakula au mara baada ya kula. Au unywaji wa kimiminika cha baridi iwe soda au juice!
Kwani tatizo ni maji kwa maana ya maji au tatizo ni kimiminika! Mwenye ufahamu na hili tafadhari anisaidie....
Sasa swali langu ni hili, je unywaji wa chai wakati unakula unamadhara gani! Coz binafsi napenda kimiminika cha moto nikiwa nakula au mara baada ya kula. Au unywaji wa kimiminika cha baridi iwe soda au juice!
Kwani tatizo ni maji kwa maana ya maji au tatizo ni kimiminika! Mwenye ufahamu na hili tafadhari anisaidie....