unknown animal
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 337
- 51
mama ni mama ndo kauli inayotuponza,coz mama analeta lugha za kitchen area za mjengo,ni hatareeeeeeee
jamaa anashuka na mistari kama yuko ndotoni
WACHENIULIMBUKENI YAANI MNAJIFICHA KWA KUTAFUTA YASIYOHUSIKA,najua nimewagusa vibaya sana ,na zaidi nyie wafuata upepo na wapiga debe mna tabu sana hapa JF,yaani kama mimi ndio mode hawa wenye majibu yasioeleweka,ningewavunja vidole na kuwatia upofu ,wasiione JF kama mwezi hivi.
Suali lipo wazi ,ni kujibu tu hii Nchi mnaipeleka wapi ikiwa leo hamjui mtendalo,magwanda mazito ,mnatuonyesha ubabe au sio ,CCM yao ya kijani nyie yenu makaki mnataka kuifanyia makeniki na ukarabati hii nchi.
hayo magwanda huvaliwa na madikteta na sera za unyanyapaa pale bungeni na kuvikandia vyombo vya dola ni ishara mbaya za utawala wenu,hivi mtaunda jeshi jipya na usalama mpya ,mmewaahidi wangapi pale usalama wa Taifa kuwapa ulaji ,mnaipeleka nchi hii kubaya zaidi ya hapa tulipo.
Castle Lite Baridii
Eebanae wakuu msisahau bado birthday ya Mzee Mandela inaendelea!! Mlioko Sowetto na J'burg tupeni updates!!
Madam Spika akasimama na kumwambia Mbunge kijana " Hivi nyinyi vijana mmerogwa nini, mbona Kamand Kova kishasema Jasusi ripo mahakamani hivyo mwongozo wa nini?"Hata mimi nimesikia hivyo, kwa hiyo wanataka tusilizungumzie.
mama kinda nasema bunge litaendelea mpende msipende hata kama wapemba wamekufa kwanza wapemba si watu nani kasema wapemba wako kwenye hesabu za watz,lukuvi mheshimiwa muongozo, kwanza meli haijazama hizi ni taarifa za uongo na uzushi wa chadema wanataka umaarufu naomba bunge liendelee,werema akasimama mheshimiwa kinda kuna taarifa za ndani kuwa chadema wamehusika na kuzamisha meli kule zanzibari ila hili jambo liko mahakamani lisijadiliwe
kinda -bunge linaendeleaaaaaaaaaaaa
unawashwa vibaya omba mwongozo sasa kama lukuvi nasikia mmezamisha meli muuwe wapemba kwa sababu hawataki muunganoyakhe kalime nyanya na ndizi .:spy:
Jambo moja ambalo linasababisha CHADEMA wapate wafuasi ni kuzungumza mambo kwa ushahidi.Kuna wakati wametetereka lakini most of the time wanatoa hoja ambazo zina mashiko.
Kuhusu vyombo vya dola ni wazi vina double standard na hili ni jambo la hatari.Kada wa CHADEMA kauawa Igunga lakini mpaka leo hatujasikia viongozi wa CCM wakihojiwa.
Usalama wa Taifa unaangalia maslahi ya viongozi walioko madarakani na ushahidi uko wazi kwani wangefanya kazi yao vizuri EPA na madudu mengine kama kuweka vijisenti abroad yasingekuwepo au wahusika wangekuwa behind the bars.
Kwa ujumla kuna ombwe na mkanganyiko mkubwa na wanachofanya chadema ni kuwazindua Watanzania.
Nakuomba utafute gazeti la raia mwema la wiki hii kuna jamaa kachambua vizuri jambo la vyombo vyausalama.
Tujadiliane kwaamani.
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.
Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.
Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.
Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.
chadema wamehusika???huyu werema anaanza kukata ringi
Wacheni ulimbukeni yaani mnajificha kwa kutafuta yasiyohusika,najua nimewagusa vibaya sana ,na zaidi nyie wafuata upepo na wapiga debe mna tabu sana hapa JF,yaani kama mimi ndio mode hawa wenye majibu yasioeleweka,ningewavunja vidole na kuwatia upofu ,wasiione JF kama mwezi hivi.
Suali lipo wazi ,ni kujibu tu hii Nchi mnaipeleka wapi ikiwa leo hamjui mtendalo,magwanda mazito ,mnatuonyesha ubabe au sio ,CCM yao ya kijani nyie yenu makaki mnataka kuifanyia makeniki na ukarabati hii nchi.
hayo magwanda huvaliwa na madikteta na sera za unyanyapaa pale bungeni na kuvikandia vyombo vya dola ni ishara mbaya za utawala wenu,hivi mtaunda jeshi jipya na usalama mpya ,mmewaahidi wangapi pale usalama wa Taifa kuwapa ulaji ,mnaipeleka nchi hii kubaya zaidi ya hapa tulipo.
Siku zote hesabu zangu mimi ni katika Chadema 10 mwenye akili timamu anaweza kupatikana mmoja tu na hii ni kuanzia Viongozi,Wanachama,hadi mashabiki....unaweza mwenyewe kupanga safu ya Viongozi wa Chadema unaowaona mashuhuri(siyo lazima iwe in a positive way) wa'list katika 10,timamu anaweza kuwa mmoja tu....kati ya Wa'CDM 10 waliochangia katika thread hii wewe ndo yule mmoja out of those 10,yaani wengine wanasikitisha kabisa...hoja imewekwa badala ya kuchangia vitu vya maana wao wanaonyesha ulevi,na hivihivi ndo Viongozi wao walivyo ndo maana utasikia mara "funga mlango tupigane" nitamzuia Rais asije Arumeru" na ***** mwingine mwingi tu,kwakweli inaogopesha sana kama hawa ndo tunaotaka kuwakabidhi dola mwaka 2015