Pamoja na upungufu wa ajira - ikitokea kazi ya kujiunga na jeshi hili kwa sasa naona nitawaza mara mbili kabla ya kuikubali. Maana inaelekea wanafundishwa kuua.
sio jeshi la polisi tu nchi yote yabidi iundwe upya tu hakuna lililo sawa humu nchini lakini ole wao wananchi wakivizoea hivi vifo hii nchi ikiharibiwa hii hakuna atakayeweza kuituliza kirahisi we waache tu kaka.Nashindwa kuamini kama huyu jamaa ana cheo cha Inspector,na kama ni kweli yeye ni Inspector uinspector huo aliupatapata vipi..??Kuna haja kubwa sana ya kubadili mfumo wa Jeshi la polisi na ikiwezekana liundwe upya kabisaaaa....
Mkuu huyo uliyem-label RPC sidhani kama ni sahihi maana inasemekana huyu askari ndiye ambaye alikuwa anajaribu kuwasihi wenzie wasiendelee kumpiga huyu mwandishi na yeye pia alijeruhiwa ktk zoezi hilo. Ninasema sio RPC maana askari anayeripotiwa kujeruhiwa ni mwingine na sio RPC. Mnaweza kunisahihisha kama ninakosea
Mkuu huyo uliyem-label RPC sidhani kama ni sahihi maana inasemekana huyu askari ndiye ambaye alikuwa anajaribu kuwasihi wenzie wasiendelee kumpiga huyu mwandishi na yeye pia alijeruhiwa ktk zoezi hilo. Ninasema sio RPC maana askari anayeripotiwa kujeruhiwa ni mwingine na sio RPC. Mnaweza kunisahihisha kama ninakosea