Bystanders
Soma habari hii ya kusikitisha jinsi Watanzania wenzetu wasio na ubinadamu walivyowatendea majeruhi Wakenya
Soma habari hii ya kusikitisha jinsi Watanzania wenzetu wasio na ubinadamu walivyowatendea majeruhi Wakenya
Bystanders
Soma habari hii ya kusikitisha jinsi Watanzania wenzetu wasio na ubinadamu walivyowatendea majeruhi Wakenya
ok nimeisoma but but picha zinaonesha askari polisi wakimsaidia majeruhi kupanda ambulance kazi ambayo ilitakiwa ifanywe na wauguzi.Huoni kuwa huo ni ubinadamu wa hali juu?
kwa hiyo wasilaumu kwa kila kitu,japo nakiri kuwa wezi waliochukua mali za marehemu baada ya ajali si kitendo cha kiungwana, nadhani ugumu wa maisha ndio unachangia ,na hii tabia si Tz tu bali hata huko kenya mambo ni hayahaya.
nakumbuka mwaka 1975 mwanamuziki nguli wa TZ MBARAKA MWINSHEE MWALUKA ,alipata ajali mbaya huko kenya lakini naye yalimkuta hayahaya akafariki dunia kwa kukosa huduma na kuibiwa vitu alivyokuwa navyo wakati wa ajali.
Watanzania wanaopata ajali karibu kila siku wanatendewa hivyo hivyo sasa cha ajabu nini? au kwa sababu yamewakuta wageni imekuwa tabu, na kukuuma sana?
Halafu kwa nini wanatoa habari ya upande mmoja ni nani aliwachukua na kuwapeleka hospitalini tumbi na Muhimbili hao majeruhi? na huko hospitalini ni nani aliwatibia kama watanzania ni wabaya hivyo?
Usikubali kutumiwa kuangamiza upande wako simamia maslahi ya nchi yako na watu wako!
[/SIZE]