hili jukwaa la biashara linaelekea kubaya.
Hili jukwaa la biashara linaelekea kubaya.
Waungwana bwana Yesu asifiwe! Je kuna yeyote mwenye taarifa zaidi kuhusiana na unyakuo wa kanisa kuwa umekaribia na yule mpinga kristo anakaribia kuitawala dunia,naomba mnijuze kuhusiana na hili wakuu.
Waungwana bwana Yesu asifiwe! Je kuna yeyote mwenye taarifa zaidi kuhusiana na unyakuo wa kanisa kuwa umekaribia na yule mpinga kristo anakaribia kuitawala dunia,naomba mnijuze kuhusiana na hili wakuu.
Waungwana bwana Yesu asifiwe! Je kuna yeyote mwenye taarifa zaidi kuhusiana na unyakuo wa kanisa kuwa umekaribia na yule mpinga kristo anakaribia kuitawala dunia,naomba mnijuze kuhusiana na hili wakuu.
Masuala ya mwisho wa dunia yamepotoshwa sana na tafsiri hafifu za watu wasiyoijua biblia vizuri.
Hakuna concrete evidence ya kuwa Mungu atanyakua kanisa.
Na kama ni hivyo, kuna uwezekano pia kuwa hilo kanisa lilikwisha kunyakuliwa.
Halafu suala la Mpinga Kristo pia ni tata. Utabiri huu pia unaonesha kuwa ni tukio lililopita tangu enzi za Roma na Kaizari.
Madhehebu ya Pentecostal hupenda sana kutilia chumvi suala hili.
Namba 666 huwezi kununua wala kuuza bila hiyo. Ndio maana huu uzi uko kwenye jukwaa la Biashara LOL!
Kuna njia nyingi za kufundisha; njia mojawapo ni kuuliza maswali kwanza. Mkuu Chimbuvu napenda kujua kama Mpinga Kristo (Anti-Christ) unamfahamu. Mpinga Kristo ni nani?
Hili jukwaa la biashara linaelekea kubaya.
ili kuweza kuelewa kuhusu nyakati za mwisho inakuhitaji kusoma na kuelewa vizuri vitabu viwili. Danieli anzia mlango wa 7 na ufunuo yote. Ukishasoma hivi vitabu viwili soma pia soma mahubiri ya Yesu (mathayo 16:1-4, 23:3--) ni maelezo marefu ambayo yahtaji si muda tu bali na utulivu ulioambatana na usikivu wa Roho Matakatifu. Roho wa Mungu awe nawe kukufundisha kweli yote. Nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru.
Napita tu nawatafuta wafuasi wa Chadema niwapige