simbamkuu00
New Member
- Feb 26, 2012
- 4
- 0
Habari wana Jamii, ninapenda
kufahamu je ni kampuni gani
inayoaninika kwa kuagiza magari.
Nimejaribu kuangalia trade car view
nikahisi ni the best kwa sababu wana
huduma ya paytrade.. kwa yoyote
anayeelewa kuhusu haya mambo
tusaidiane maana nilishajaribu
kunegotiate online na nikatumiwa
Proforma Invoice lakini nikaogopa
kuendelea. pia ningependa kufahamu
gharama na procedure za utoaji
bandarini. na je ni kweli kuna
punguzo la kodi kwa civil servants?
tusaidiane hapo wanajamii.
kufahamu je ni kampuni gani
inayoaninika kwa kuagiza magari.
Nimejaribu kuangalia trade car view
nikahisi ni the best kwa sababu wana
huduma ya paytrade.. kwa yoyote
anayeelewa kuhusu haya mambo
tusaidiane maana nilishajaribu
kunegotiate online na nikatumiwa
Proforma Invoice lakini nikaogopa
kuendelea. pia ningependa kufahamu
gharama na procedure za utoaji
bandarini. na je ni kweli kuna
punguzo la kodi kwa civil servants?
tusaidiane hapo wanajamii.