kande kavu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 234
- 86
Haya haya wanajamii.
Natumaini mmeliona/sikia tangazo jipya la TACAIDS juu ya network ya wapenzi(mtungo), ambapo mimi nakubali kabisa ndivyo ilivyo!
Je huu si wakati wa kujitoa kwenye hizo networks kwa salama yetu?
Natumaini mmeliona/sikia tangazo jipya la TACAIDS juu ya network ya wapenzi(mtungo), ambapo mimi nakubali kabisa ndivyo ilivyo!
Je huu si wakati wa kujitoa kwenye hizo networks kwa salama yetu?