Jamani ni siku ya tatu leo na ka DELL kangu kako very slow na kanakwama mara kwa mara na kila wakti yanatokea maneno hayo hapo juu, nisaidieni.
Nilikuwa natumia anti virus ya norton kwa miaka mitatu lakini wiki iliyopita iliondolewa na fundi na kuwekewa NOD 32.Fundi alidai ya kuwa pamoja na kuwa Norton inakubali update lakini si rahisi kuwa na valid antivirus kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Nilikuwa natumia anti virus ya norton kwa miaka mitatu lakini wiki iliyopita iliondolewa na fundi na kuwekewa NOD 32.Fundi alidai ya kuwa pamoja na kuwa Norton inakubali update lakini si rahisi kuwa na valid antivirus kwa zaidi ya mwaka mmoja.