Zantel imetangaza Unlimited Package at just 90,000 shillings per Months,
Zantel imetangaza Unlimited Package at just 90,000 shillings per Months, 6,000 per day or 30,000 per week. Habari zaidi iko Michuzi Blog, ila sijaweza kuelewa kama ni GSM au CDMA.
Benson ukitaka nikupe hata BURE njoo uchukue. Wahindi wale wahuni sana. Hiyo 180,000/= wizi mtupu. Kale ka simu wanakupa kakipata moto tu basi umeliwa, kanaanza kuji-restart kila mara, kama ulikuwa in middle of something unalia tu.Mbona wale Benson Communication pale oposite na Ubalozi wa Ufaransa wanatoa Unlimited connection ya internet for 60,000/= per month, 180,000/= for three months. I have used few months a go is very good speedwise.
Hivi mbona bado 180,000 ni pesa nyingi sana kwa Mtz wa kawaida?
Sii sasa wanatandaza wire? Je nilidhani gharama zingezidi kuwa za chini!
Mbona wale Benson Communication pale oposite na Ubalozi wa Ufaransa wanatoa Unlimited connection ya internet for 60,000/= per month, 180,000/= for three months. I have used few months a go is very good speedwise.
Unaposema at just 90,000/= unalinganisha na nini? Viwango vya huduma ya mtandao Tanzania bado ni rip off, 90,000/= kwa mwezi popote duniani ni rip off, sasa tusitake kutangaza biashara ya Zantel yenye viwango vya kilanguzi kwa lugha za "at just 90,000 shillings." Watanzania wengi ambao mambo yao mazuri huwa wanasahau hali halisi ya wengi, completely out of touch. 90,000/= kwa mwezi ni rip off. Kang, usiwapambe Zantel.
Benson ... Wahindi wale wahuni sana. Hiyo 180,000/= wizi mtupu. Kale ka simu wanakupa kakipata moto tu basi umeliwa, kanaanza kuji-restart kila mara, kama ulikuwa in middle of something unalia tu.
Nimetumia huduma yao hiyo for 6+ months na nimepiga chini, hawana contract ya kueleweka.
Mbona wale Benson Communication pale oposite na Ubalozi wa Ufaransa wanatoa Unlimited connection ya internet for 60,000/= per month, 180,000/= for three months. I have used few months a go is very good speedwise.
Kwani Internet Service Provider anauza simu au anauza huduma ya kuufikia mtandao? Huna simu au PC yako?
Mara simu ndo mbovu, mara hawana contract ya kueleweka, shagalabagala, contract hukuielewa lakini uliisaini anyway? Hapo sidhani kama kosa ni la "Wahindi wale" zaidi ya wazawa wale, kina Pimbi.