Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Natafuta universal box.mwenye nayo aniambie anauza shiling ngapi.Nimeweka hapa hii mada sababu wataalam wengi wenye kujua haya mambo wanapita hapa.
mimi pia nahitaj hiyo kituSikushauri kununua kitu kwa mtu kaka coz lazima ujiulize yeye anauza kwa nini? nenda tu shop tungua mpya na cable zote...life lisonge.
zipo 2 unalohitaji ni lipi mkuu ebu fafanunu
Sikushauri kununua kitu kwa mtu kaka coz lazima ujiulize yeye anauza kwa nini? nenda tu shop tungua mpya na cable zote...life lisonge.
Nenda kwa naheem