Hii Habari ya toka july.safi saana!! tunaanza kidogokidogo...!! naomba viongozi wa UDOM huo ugeni wautumie vizuri...
USIANDIKE USICHOKIJUA, THEN UMEULIZA DIRECT KAMA KUNA COLLEGE OF SC. N TECH. WHAT ABT OTHERS? UDOM IPO HADI COLLEGE OF EARTH SCIENCES NA INATOA UNDERGRADUATE DEGREE ZISIZOPUNGUA 90 UNDER BEST LECTURERS FROM EUROPE AND RUSSIA!:glasses-nerdy:
mh!:confused2: Punguza chumvi mkuu. Niko pale but hiyo collage siijui, labda uniambie kuna course ya earth science.
acha kutudanganya bwana, udom bado chuo kichanga sana
Udom na Nasa ??? wapi na wapi??
Mh!:confused2: Punguza chumvi Mkuu. Niko pale but hiyo collage siijui, labda uniambie kuna course ya earth science.
college of earth science ipo pale na inaofer degree za mining engineering, mineral processing, geology, na petroleum engineering na hao madogo 2nafanyanao kaz katk field zao and they competent enough tofaut na fikra za mliowengi. Binafsi nmeanza kukiheshm hcho chuo kama si college of earth science na nnajua mtakuja hapa na ubish usio na fact ila ukweli utafahamika2 in few years to come.
Mwenye More info regarding this atupe! kuna wageni wawili kutoka NASA Marekani wapo Dodoma wamekuja jana watafanya presentation na ku-form partnership Na University, ila hawakutaka kutoa more info zaidi ya kusema watch the news this week! najua watachuja sana kwenye news :A S 39:
Mwenye nazo atupe...this is kinda good...
Mwenye More info regarding this atupe! kuna wageni wawili kutoka NASA Marekani wapo Dodoma wamekuja jana watafanya presentation na ku-form partnership Na University, ila hawakutaka kutoa more info zaidi ya kusema watch the news this week! najua watachuja sana kwenye news :A S 39:
Mwenye nazo atupe...this is kinda good...[/QUwapo kwny mchakato wa ujenzi wa kitu kituo cha ku_download satellite imageries direct( Direct Satellite Downloading Centre) tuna miundombinu mikubwa sana ya Teknohama ktk Afrika ingawa utumikaji wake bd haujawa na tija ktk social_ecomic dev
kwani hao jamaa wa udom wanayo collage of science and tech. or something like that...au kuna uwalimu na arts peke yake...manake hata sheria sina uhakika kama wameshaanza kuoffer...
Uki-google neno NASA utapata institutions nyingi ikiwemo National Auto Sport Association hivyo nafikiri ni NASA hii na sio ile ya aeronautics ya superpower!!
YOU never know,maybe tanzania has plans to put a man on the moon in the near future.
nadhani siasa ilikichafua chuo ila chuo ni kizuri tu.sijui kwa nin watu wanaponda hiki chuo..mbona kiko fresh jaman!!!!!!!!!!!!