University of Dodoma - Photos !

Hongera zake! Ila sehemu ya fedha zilizotumika kukijenga, zimezalisha madeni makubwa kutoka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, kwasababu ya ubabe wa serikali kuingiza siasa na kulazimisha kuchotwa fedha ambazo sio zake , bali ni mali ya wafanyakazi.Na haijulikani zitarudishwarudishwaje.Naona walianza mchakato wa kubadilisha sheria za mafao ili kuziachia mzigo serikali zinazokuja na kukwepa lawama za wafanyakazi
 
chuo kikubwa kwa majengo, majengo yengewe hata miaka mitatu hayana na yanataka kuanguka..mfano block 4 n' 3 hapo social
 
Utakuwa na upungufu wa akili kama utashindwa kuappreciate hilo.,Kikwete ana mapungufu yake lakini kwa hili la kuchukua initiative ya kuanzisha chuo hiki ni lazima tumpe sifa zake,tusiwe wanafiki na wachoyo wa fadhila kiasi hiki,jiulize zaidi ya Nyerere mbona hakuna rais mwinginealieanzisha chuo kikuu tena from the ground zaidi ya kikwete.,sio mwanachama wa CCM wala shabiki wa JK lakini hilo halinifanyi nishindwe kusema kuwa hiyo ni ahadi pekee ya JK iliyotimia.

una data za ulichokiandika..! ? ?
 
the truth is kazi ya ujenzi ilianza wakati wa Mkapa ila yeye kamalizia. tunamsifu kwa kumalizia. angeweza kutumia hizo hela kwa safari za nje kama alivyofanya kwa miradi mingine. so hongera JK .
 
Those buildings look cheap. I doubt if they gonna last longer.....for the investment to meet sustainability criteria. University is something which should be built to last forever. Hayo majengo ya rangi za kichina hayafai kwa taasisi kama hiyo.

wewe kweli ni great sinker, katika picha tu umeisha jua hata umri wa majengo? halafu ni material gani inatumika kujenga jengo li-last forever? halafu forever ni miaka mingapi kwa akili yako? think first ma broda/sister!
 
[/I][/B]
wewe kweli ni great sinker, katika picha tu umeisha jua hata umri wa majengo? halafu ni material gani inatumika kujenga jengo li-last forever? halafu forever ni miaka mingapi kwa akili yako? think first ma broda/sister!

[h=2]NAPE ATEMBELEA UDOM LEO, AAGIZA MAJENGO YENYE NYUFA YASHUGHULIKIWE HARAKA[/h] May 24, 2011


CCM imewaagiza viongozi wanaohusika kwenda kukagua majengo ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) ili kulipatia ufumbuzi wa haraka tatizo la nyufa zilizoanza kuitokeza kwenye baadhi ya majengo.

Chama kimewaagiza pia viongozi hao kukagua hali ya miundombinu ya majitaka katika maadhi ma maeneo chuoni hapo ili ifanyiwe marekebisho kwa kuwa inatuamisha maji kutoka katika majengo na kusababisha adha ya harufu mbaya kwa wanafunzi, walimu na wafanyakazima,m wengine chuoni hapo.

Maagizo hayo yalitolewa leo, na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC)ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, baada ya kutembelea chuo hicho na kagua baadhi ya majengo ambapo alishuhudia baadhi ya majengo yakiwa na nyufa.

Majengo yaliyoonyesha kuwa na nyufa ni katiba mabweni ya wanafuzi wa Shule ya Sayansi na Jamii yaliyoko Block 2 na 3 ambapo alionyeshwa na wanafunzi wanaoishi katika mabweni hayo.

"Kujengwa kwa chuo hiki ni uamuzi wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, hivyo ni lazima kuuenzi uamuzi huu kwa kuhakikisha mazingira na majengo yake yanakuwa katika hali bora", alisema Nape.

Nape alionyesha kushangazwa kwake kuona majengo ambayo hayajatimiza miaka mitano tangu kujengwa kwake, kuanza kupata nyufa jambo ambalo alisema ni hatari kwa usalama wa wanafunzi wanaoishi katika majengo hayo.
 
[h=2]NAPE ATEMBELEA UDOM LEO, AAGIZA MAJENGO YENYE NYUFA YASHUGHULIKIWE HARAKA[/h] May 24, 2011


CCM imewaagiza viongozi wanaohusika kwenda kukagua majengo ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) ili kulipatia ufumbuzi wa haraka tatizo la nyufa zilizoanza kuitokeza kwenye baadhi ya majengo.

Chama kimewaagiza pia viongozi hao kukagua hali ya miundombinu ya majitaka katika maadhi ma maeneo chuoni hapo ili ifanyiwe marekebisho kwa kuwa inatuamisha maji kutoka katika majengo na kusababisha adha ya harufu mbaya kwa wanafunzi, walimu na wafanyakazima,m wengine chuoni hapo.

Maagizo hayo yalitolewa leo, na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC)ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, baada ya kutembelea chuo hicho na kagua baadhi ya majengo ambapo alishuhudia baadhi ya majengo yakiwa na nyufa.

Majengo yaliyoonyesha kuwa na nyufa ni katiba mabweni ya wanafuzi wa Shule ya Sayansi na Jamii yaliyoko Block 2 na 3 ambapo alionyeshwa na wanafunzi wanaoishi katika mabweni hayo.

"Kujengwa kwa chuo hiki ni uamuzi wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, hivyo ni lazima kuuenzi uamuzi huu kwa kuhakikisha mazingira na majengo yake yanakuwa katika hali bora", alisema Nape.

Nape alionyesha kushangazwa kwake kuona majengo ambayo hayajatimiza miaka mitano tangu kujengwa kwake, kuanza kupata nyufa jambo ambalo alisema ni hatari kwa usalama wa wanafunzi wanaoishi katika majengo hayo.



Nyufa mbona kawaida hilo aisee nyufa ndogo ndogo
 
Ni kweli ni zaidi ya UD kwa majengo lakini sio kwa taaluma. Kamwe huwezi kufananisha majengo ya miaka ya 1970 na ya leo 2014. Ndio maana ikulu kila mwaka inakarabatiwa ili iendane na mazingira ya sasa. Udom hakina miaka 10 toka kimeanza, wanaochaguliwa kwenda sio wale top layer ( div 1 na 2 za ZAMANI) hivyo kulinganisha kwako ni pumba bwana TEAMO. Na zinazojenha ni fedha za wafadhili na serikali, sio za mtanzania mmoja mfukoni mwake. Ila udom wamekomboa wengi kuitwa graduates, ilikuwa ni shidah wakati ni ud, sua, tumaini ndio vyuo
 
Back
Top Bottom