universities za india

akrb

Senior Member
Mar 6, 2012
106
10
habari zenu members.naomaba kuliza kama kuna mtu yeyote anayejua kuhusu universities za india yaani ubora wao,cost nakadhalika..
 
Kuna kampuni fulani inaitwa Global Education Link....wewe google utaiona. Inajihusisha na kutafutia wanafunzi vyuo mbalimbali nje ya nchi ikwemo India. Wameweka Costs katika website yao. Wewe fungua utaiona.
Lakini pia India ni kati ya nchi ambazo zina sifa ya kutoa Elimu bora hapa duniani.
Ila unapotafuta chuo hakikisha kinatambulika.
 
hakuna yeyote aliyewahi kusoma huko au ndugu au rafiki???anipe more details.
 
Kuna kampuni fulani inaitwa Global Education Link....wewe google utaiona. Inajihusisha na kutafutia wanafunzi vyuo mbalimbali nje ya nchi ikwemo India. Wameweka Costs katika website yao. Wewe fungua utaiona.
Lakini pia India ni kati ya nchi ambazo zina sifa ya kutoa Elimu bora hapa duniani.
Ila unapotafuta chuo hakikisha kinatambulika.

thanx,nitai google
 
Mie nimesoma Degree ya kwanza Engineering (4 yrs) India, niliipenda sana India kwa sababu ni wazuri sana hasa kwenye mambo ya IT, ICT na Engineering. Wako fit na wana labs na vifaa vizuri hasa vya technologia..ukisoma katika chuo kinachojulikana utakuta kina facillities nyingi na nzuri..hakika ukirudi na ukajilinganisha na wenzako waliosoma Programme hiyo hiyo hapa kwetu Bongo..unaona tofauti....kama unataka kwenda kusoma Engineering na science courses tafuta India Institutes of Technology (IITs) na india Institutes of Sciencs (IISc) then fuatia na vyuo maarufu..unaweza kugoogle ukaona Top 50 au 100 Univs in India....sasa kama wataka kusoma masomo ya biashara au sheria au jamii hapo sijui zaidi..
 
Akrb pamoja na ushauri wote, kumbuka kuepuka matapeli wanaojiigiza kama mawakala wa college/university. You give them your money you are kwishney.
 
habari zenu members.naomaba kuliza kama kuna mtu yeyote anayejua kuhusu universities za india yaani ubora wao,cost nakadhalika..

Jesuit universities zina fair fees. Iwapo una connection na wanafunzi wa Loyola waombe waku-connect na Fathers wao watakusaidia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom