Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #21
HTML:
Kwani JK amejibu thread yako!, anakujaje hapa?!
Vibaraka wake wanamsaidia kuzijibu...........................
Kwani JK amejibu thread yako!, anakujaje hapa?!
Naona tatizo kubwa la nchi yetu ni umasikini uliokithiri ambao chimbuko lake ni utawala mbovu. Ni pale tu jamii ya wasomi itakapoacha ajenda za siri zichaguliwapo kuingia madarakani ndipo maendeleo ya kweli yatapatikana. Cha kustaajabisha hapa JF almost kila mada inayotolewa watu wanachangia wakiwa na ajenda ya UDINI.
HTML:Kwani JK amejibu thread yako!, anakujaje hapa?!
Vibaraka wake wanamsaidia kuzijibu...........................
Udini ni hoja ya JK tusahau tofauti zetu za kiuchumi na kugangamala na udini ambao wanaonufaika nao ni wachache sana................