KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
wakuu habari za weekendi?mimi leo nataka tu discuss hizi slogans za wakuu wetu ambazo mimi naona hazina maana kabisa.eg...ari mpya nguvu mpya na kasi mpya... hebu tuangalie hii slogan na implementation yake mpaka sasa...na najiuliza next year wata kuja na ipi?au itakuwa hivi..2010 slogan itakuwa " prado kwa kila mwananchi....." . au ,pia tuangalie slogan ile ya maisha bora kwa kila mtanzania..... je hii imetekelzwa kwa asilimia ngapi...?
napia tujikumbushe slogan za viongozi waliopita na implementation zao...
hebu vichwa tuzi discuss kwa undani.
na ambaye atakuja na slogan ya 2010..humu ndani..zawadi yake ipo tu.
asanteni.
napia tujikumbushe slogan za viongozi waliopita na implementation zao...
hebu vichwa tuzi discuss kwa undani.
na ambaye atakuja na slogan ya 2010..humu ndani..zawadi yake ipo tu.
asanteni.