Uniliver Tanzania, Nipeni details zao

rifwima

JF-Expert Member
Apr 21, 2010
507
212
Jambo!

Wana JF, heshima kwenu! Napenda kupata details za hii kampuni ya Uniliver (I know its a multinational company) especially range ya salary zao na mabenefits mengine? Pia mazingira ya kazi zao?

Najua hapa jamvini ni full kwa kila kitu.

Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom