Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Mara nyingi kwenye mahusiano, hasa kwa wadada, unakuta analalamika au anatoa maneno
unikome, sikutaki tena, kumbe unanichezea bure.
Hili suala la mmoja kumchezea mwenzake inakuwaje?
Je ni kweli wanamme tu ndio huchezea wadada?
Au hata mdada anaweza mchezea mwanamme?
Kwa nini isiwe wote wanachezeana?
Hebu nisaidieni kudadavua hili.
unikome, sikutaki tena, kumbe unanichezea bure.
Hili suala la mmoja kumchezea mwenzake inakuwaje?
Je ni kweli wanamme tu ndio huchezea wadada?
Au hata mdada anaweza mchezea mwanamme?
Kwa nini isiwe wote wanachezeana?
Hebu nisaidieni kudadavua hili.