Pedeshee kiraka
Member
- Jan 7, 2012
- 61
- 7
Ungo unaotumiwa na wachawi kama chombo cha kusafiria katika shughul zao za kiuchawi, mimi nimekuwa nikifikiria sana kuhusu suala la ung'o hii kwangu ni kama teknolojia kubwa sana ya waafrica kama tungeweza kuimaintain nasi tungetisha kwel, kuna kipindi ungo uliwahi kujadiliwa kwenye bunge lkn hili
Halkufika muafaka, usafiri huu kwa taarifa zilizopo ni kwamba ungo ni usafiri wa haraka sana mfano kutoka tz hadi london inachukua dakika 45 tuu
Halkufika muafaka, usafiri huu kwa taarifa zilizopo ni kwamba ungo ni usafiri wa haraka sana mfano kutoka tz hadi london inachukua dakika 45 tuu