Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
huu upiga debe umejifunzia wapi.....ubungo, tandika au posta? maana naona unatafut asehemu ya attachment ili ufanye mazoezi kwa vitendo.......
Nimejifunzia Tandale kwa Tumbo pale.
huu upiga debe umejifunzia wapi.....ubungo, tandika au posta? maana naona unatafut asehemu ya attachment ili ufanye mazoezi kwa vitendo.......
Kama wewe unam-endorse huyu (na ninakuami) basi shughuli imeisha. Wewe wasemaje?
na mimi bado sijachagua wangu......huwezi jua bahati yaweza kuwa yako je???
hahahaa pale hatari, n akukwapua na kupiga organ ndo zao!! hope hukujifunza hayo!!!Nimejifunzia Tandale kwa Tumbo pale.
Komredi hapa usiwe na shaka lakini naona wanoko wameanza kuchafua hali ya hewa.
hahahaa pale hatari, n akukwapua na kupiga organ ndo zao!! hope hukujifunza hayo!!!
Hehehe kumbe unapajua sasa mm ni zao la pale full maujuzi.
:angry:
Dadii nashangaa mada inageuka badala ya mapendo naona matusi tena hapa ah:confused3:
:angry:
:confused3:
Dadii nashangaa mada inageuka badala ya mapendo naona matusi tena hapa ah
Ningependa kutoka na Mzee Mwanakijiji.
Acha tu mamii yaani haya maisha ya mapenzi mie nimeyavua kabisa ah.mmmmmmmm!!!! n ahakuna wa kupunguza hasira sasa babu yako kasepa!!!
HAHAAA LOL!!! kwani mamii hata mwanzo wa mapenzi si tamu kama asali lakini mwisho wake mchungu kama shubili lol!!!
Acha tu mamii yaani haya maisha ya mapenzi mie nimeyavua kabisa ah.
Ah babu kasepa nani atakayeniharibia hasira hii sasa?
Fide tukienda Soja ntakuwa nakukwepa usije ukanisachi buree!!!
Acha tu mamii yaani haya maisha ya mapenzi mie nimeyavua kabisa ah.
Ah babu kasepa nani atakayeniharibia hasira hii sasa?
Ningependa kutoka na Mzee Mwanakijiji.