Fabian the Jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 756
- 738
Kufuatia kukatwa jina kuwania nafasi ya Uraisi, Iwapo ungepata nafasi ya kumshauri mheshimiwa katika kipindi hiki ungemwambiaje!
Ningemshauri arudi Monduli akachunge mbuzi na kulea boma
Ningemshauri awaachie chama chao!
Tunampenda,asife moyo
Kufuatia kukatwa jina kuwania nafasi ya Uraisi, Iwapo ungepata nafasi ya kumshauri mheshimiwa katika kipindi hiki ungemwambiaje!
Akubaliane na maamzi kwni kwenye ushindani kuna kushindwa na kushinda na yeye ameshindwa