Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wana jamvi
Naomba thread hii itumike kwa kila great thinker achague cheo,taasisi au wizara yeyote anayoona anaweza kufit ambayo kama angekuwa kiongozi aseme na andike mammbo gani na decision angefanya tofauti na yanofanyika sasa.
So tujadili kama wewe ungekuwa ndo JK, au waziriau katbu mkuu fulani au ungekuwa CEO wa NHC au PPF, TTCL etc.Au ungekuwa Mkuu wa chuo UDSM au ungekuwa Meya wa jiji au ungekuwa mbunge wa jimbo xxx. Na vyeo vingine vya kimaamuzi unavyojua
Simple chagua cheo na taasisi na sema ungefanya decision gani.?
Itapendeza hii thread akiingia na kuisoma original
Nawasilisha
Naomba thread hii itumike kwa kila great thinker achague cheo,taasisi au wizara yeyote anayoona anaweza kufit ambayo kama angekuwa kiongozi aseme na andike mammbo gani na decision angefanya tofauti na yanofanyika sasa.
So tujadili kama wewe ungekuwa ndo JK, au waziriau katbu mkuu fulani au ungekuwa CEO wa NHC au PPF, TTCL etc.Au ungekuwa Mkuu wa chuo UDSM au ungekuwa Meya wa jiji au ungekuwa mbunge wa jimbo xxx. Na vyeo vingine vya kimaamuzi unavyojua
Simple chagua cheo na taasisi na sema ungefanya decision gani.?
Itapendeza hii thread akiingia na kuisoma original
- CEO wa TTCL, NSSF,TANESCO aone "virtual" CEO wana solution gani
- mbunge wa jimbo xxy asome "virtual" mbunge ana mtazamo gani
- JK aone ni maamuzi gani virtual JK's tunayafanya
- Meya....
- Waziri......
Nawasilisha