Weekend iliyopita nilikuwa restaurant na wife..muda kidogo mwafrika mmoja alipita pembeni yetu kisha he showed me a gesture sign; saying hi as all we are blacks. Suddenly he was besides my table..na swali la kwanza lilikuwa ´´Where are you from?´´ nikamwambia Tanzania...kisha akaniambia anatoka Canada..akaniambia unaonaje kama tukionana kwa kahawa na kuongea kuhusu family matters...sababu yeye kaoa mara tatu na ana divorces tatu na anadhani kuwa ndoa nyingi from different cultures huwa zinavunjika kwa sababu ya misunderstandings kwa wanandoa...anadai kuwa sasa kaoa tena na ana mtoto mmoja...Akaniomba namba ya simu nikampa akadai kuwa nimpigie au atanipigia..Ila kwa kumcheki na jina lake machale yakanicheza kuwa si Canadian. Je,kama ni wewe ungemwamini huyu mtu na kuongea naye issue za familia yako? From outside he looks like somebody with good intentions...from inside that's unknown. Would u take that risk?