Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Jamaa karudi home usiku wa manane.Moja kwa moja akazama chumbani,akafunua blanketi,akaiona miguu minne badala ya miwili aliyozoea.Jamaa akafunika blanketi taaratibu,akachukua bonge la rungu,akaitwanga ile miguu kwa nguvu zote halafu akaelekea sebuleni kutuliza hasira.Kutahamaki akamkuta mkewe amejipumzisha sebuleni.Mkewe akamwambia:Wazazi wako wamekuja leo kututembelea,nimewaachia chumba chetu walale,sisi tutafanya maarifa mengine!