Kama kuna mtu anadhani hajui kukimbia, basi ngoja apatwe na mkasa kama huo. Ukiangalia kiatu mguu wa kulia hata image yake haionekani vizuri ikimaanisha kuwa ile speed si ya kawaida. Sidhani hata kama Filbert Bayi angemshinda enzi zake.
Jamaa, meno, mshipa wa shingo vyote vimemtoka.
Ni balaa . . . .
Ni utatanishi . . .
Ni utata mtupu . . .
Eeeeeh mola msaidie mja wako . . . sijui ni nini kilichompata baada ya hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.