Ungekuwa ni wewe mke, ungechukua hatua gani?

Vituka

JF-Expert Member
Nov 9, 2011
2,257
1,247
Jana mumeo karudi toka kazini kalewa tilalila! Kwa upendo ukamhudumia hadi ukahakikisha amelala vizuri. Then ukasikia sim yake inaita, kwa vile hawezi kuongea ukataka kuipokea ila ikakata. Hujakaa sawa inaingia sms hii ' Baby niko didz nakusubiri, nimekumiss sana'. Ulipoiona ukawa mvumilivu hadi asubuhi ila ile namba ukaihifadhi somewhere.
Asubuhi ukamwambia husband wako about simu yake na sms iloingia. Akaisoma with confidence na kusema kuwa huyo ni demu wa rafiki yake na kwamba aliitumia kuwasiliana nae coz sim yake ilikuwa off. Kwa vile hukutaka malumbano ukakubali lakini ukataka kufuatilia zaidi.

Jioni ya siku hiyo mumeo akakwambia kuwa atachelewa kurudi coz ana kazi ofisini, na around saa 4 usiku ndo atarudi.Ilipofika mida ya saa 1 usiku ukampigia simu yake coz alikuja mtu kumtafta, ukakuta imezimwa. Ukawa anxious kujua why na ukaona utumie sim ya mtu mwingine kupiga ile namba ya jana ilomtext mumeo. Ukakuta haipatikani. Hadi mida ya saa 3 na nusu ndo simu zao zikapatikana tena kwa pamoja. Husband aliporudi home, alikuwa amevaa shati jipya ambalo hakulivaa asubuhi. Ukamuuliza why ana shati jipya akasema alovaa lilichafuka so kaliacha ofisini wadada wafanya usafi wamfulie.

Wewe ukiwa mke hapa, utachukua hatua gani?
 
Mbona Kila kitu hapo kinajieleza, Piga kibuti cha shingo asepe zake. Samahani,Mi sio mwanamke lakini.
 
Mbona Kila kitu hapo kinajieleza, Piga kibuti cha shingo asepe zake. Samahani,Mi sio mwanamke lakini.


Ha ha ha, men bwana! Eti 'my wife you dont trust me'! Khaaa!
 
unaendelea na maisha ya mume na mke...huna la kufanya..kesho yake unamkumbusha pia kuleta shati lililofuliwa ofsini pia kesho unampa nguo chafu zoote ndani maana wadada wa ofsini kwake wanapenda kufuafua waendelee kufua...
 
unaendelea na maisha ya mume na mke...huna la kufanya..kesho yake unamkumbusha pia kuleta shati lililofuliwa ofsini pia kesho unampa nguo chafu zoote ndani maana wadada wa ofsini kwake wanapenda kufuafua waendelee kufua...

Mi siwezi kuishi nae as if hakuna kilichotokea aisee! Yani from that day, sitoshika nguo yake kufua, looh! Kuna uzi aliuanzisha Mtambuzi kuhusu mambo haya haya, kwa nini wanawak ukiwakosea wananuna na kusitisha baadhi ya huduma, sa naomba wanaume mjue kuwa mambo kama haya ndo yanachangia mkose huduma humimu muhimu.
 
hapo panataka moyo wa ujasiri sana mana moyo kama wangu nahisi unaweza kufa kabla ya wakati jamani mana unaona unaibiwa live ......kweli ndoa ndoana kha!
kwamm ningemuomba aache hiyo tabia hiyo tabia na kama angeendelea tena ingeonesha kua upendo kwangu na mm na yy hauko tena ivo ingenilazimu kuondoka ...ila kuondoka kwangu ni bada ya mm kujaribu mara kibao kumbadilisha na kumshauri na kumuelewesha pia anachofanya sio kizuri ikishindikana itabidi mm kuondoka kwakuogopa magonjwa sasa kuletewa
 
Kwa kuwa ni mke, ningeingia chumba cha ndani nianze kufanya maombi ya mfungo...Nilieeeeeee machozi na mauchungu yote. Halafu najipanga namna ya kuendelea, kama nitachukuliana naye, au nitasepa kimya kimya nitajua baada ya hilo zoezi.
 
Mi siwezi kuishi nae as if hakuna kilichotokea aisee! Yani from that day, sitoshika nguo yake kufua, looh! Kuna uzi aliuanzisha Mtambuzi kuhusu mambo haya haya, kwa nini wanawak ukiwakosea wananuna na kusitisha baadhi ya huduma, sa naomba wanaume mjue kuwa mambo kama haya ndo yanachangia mkose huduma humimu muhimu.
sasa hapo utamkomoa nini wakufua si kasema wapo ofsini? tena wanamnunulia na nguo mpya...kununa haisaidii .....huyo ni shetani na kwa vile kukwepa kuishi na shetani ni ngumu unaishi nae kijanja
 
Una akili sana! Afu wknd unampeleka mlimani city mkanunue pasi mpya, ile ya home unampa awapelekee wadada wa ofcn ili wakifua wapasi kabisa! Tena unafungasha na chupi kabisa, na jik!
unaendelea na maisha ya mume na mke...huna la kufanya..kesho yake unamkumbusha pia kuleta shati lililofuliwa ofsini pia kesho unampa nguo chafu zoote ndani maana wadada wa ofsini kwake wanapenda kufuafua waendelee kufua...
 
Ushahidi haujitoshelezi there is still room for error!
(FYI: m not a woman)
 
Mh, im not surprised,ni lazima mwanaume aone kuwa ushahidi haujitoshelezi
WALIMWEUSI, it doesn't necessarily take a man to know that there still error in judgement. Mbona reasons zake ziko very staight n concrete? shati likichafukia kazini ndo aje nalo hivyohivyo? cm ya rafiki yake ikiisha charge ndo asimuazime?
 
Last edited by a moderator:
Una akili sana! Afu wknd unampeleka mlimani city mkanunue pasi mpya, ile ya home unampa awapelekee wadada wa ofcn ili wakifua wapasi kabisa! Tena unafungasha na chupi kabisa, na jik!
umeonaa eeeh mungu akupe nini tena
 
Back
Top Bottom