Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Jana mumeo karudi toka kazini kalewa tilalila! Kwa upendo ukamhudumia hadi ukahakikisha amelala vizuri. Then ukasikia sim yake inaita, kwa vile hawezi kuongea ukataka kuipokea ila ikakata. Hujakaa sawa inaingia sms hii ' Baby niko didz nakusubiri, nimekumiss sana'. Ulipoiona ukawa mvumilivu hadi asubuhi ila ile namba ukaihifadhi somewhere.
Asubuhi ukamwambia husband wako about simu yake na sms iloingia. Akaisoma with confidence na kusema kuwa huyo ni demu wa rafiki yake na kwamba aliitumia kuwasiliana nae coz sim yake ilikuwa off. Kwa vile hukutaka malumbano ukakubali lakini ukataka kufuatilia zaidi.
Jioni ya siku hiyo mumeo akakwambia kuwa atachelewa kurudi coz ana kazi ofisini, na around saa 4 usiku ndo atarudi.Ilipofika mida ya saa 1 usiku ukampigia simu yake coz alikuja mtu kumtafta, ukakuta imezimwa. Ukawa anxious kujua why na ukaona utumie sim ya mtu mwingine kupiga ile namba ya jana ilomtext mumeo. Ukakuta haipatikani. Hadi mida ya saa 3 na nusu ndo simu zao zikapatikana tena kwa pamoja. Husband aliporudi home, alikuwa amevaa shati jipya ambalo hakulivaa asubuhi. Ukamuuliza why ana shati jipya akasema alovaa lilichafuka so kaliacha ofisini wadada wafanya usafi wamfulie.
Wewe ukiwa mke hapa, utachukua hatua gani?
Asubuhi ukamwambia husband wako about simu yake na sms iloingia. Akaisoma with confidence na kusema kuwa huyo ni demu wa rafiki yake na kwamba aliitumia kuwasiliana nae coz sim yake ilikuwa off. Kwa vile hukutaka malumbano ukakubali lakini ukataka kufuatilia zaidi.
Jioni ya siku hiyo mumeo akakwambia kuwa atachelewa kurudi coz ana kazi ofisini, na around saa 4 usiku ndo atarudi.Ilipofika mida ya saa 1 usiku ukampigia simu yake coz alikuja mtu kumtafta, ukakuta imezimwa. Ukawa anxious kujua why na ukaona utumie sim ya mtu mwingine kupiga ile namba ya jana ilomtext mumeo. Ukakuta haipatikani. Hadi mida ya saa 3 na nusu ndo simu zao zikapatikana tena kwa pamoja. Husband aliporudi home, alikuwa amevaa shati jipya ambalo hakulivaa asubuhi. Ukamuuliza why ana shati jipya akasema alovaa lilichafuka so kaliacha ofisini wadada wafanya usafi wamfulie.
Wewe ukiwa mke hapa, utachukua hatua gani?